The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
bado upo! sizitaki mbichi hizi
Last edited by a moderator:
sweetlady, salamu zao zimefika...............sijasema sitapita hapa tena nimesema ntapita mara moja moja kuwapa hi so its not like i am leaving forever. Watu wengi tu tutakuwa tunakutana huko kwingine ninakokwenda.
Nimegundua siku za hivi karibuni kama nimeanza kubadilika hivi so nimeamua kufanya maamuzi magumu kama ifuatavyo,
- Ntajikita zaidi kwenye kutoa maneno yenye busara na ushauri wa kina kwenye mambo mazito (Ntakuwa zaidi kwenye majukwaa matatu, MMU, Siasa na Great Thinkers)
- Ntapunguza sana utani ikiwa na maana kwamba ntapunguza sana uwepo wangu kwenye kajukwaa haka
- Ntaruhusu maswali yanayohitaji ushauri wa kina basi
Mwisho nawaageni rasmi jukwaa hili kwa muda kadhaa ntakuwa napita tu kuwapa hi.......
sweetlady, salamu zao zimefika...............sijasema sitapita hapa tena nimesema ntapita mara moja moja kuwapa hi so its not like i am leaving forever. Watu wengi tu tutakuwa tunakutana huko kwingine ninakokwenda.
Je m'ennuierai de toi tellement M'Jr
Vous me manquerez charminglady de plus en plusJe m'ennuierai de toi tellement M'Jr
Vous me manquerez charminglady de plus en plus
Hehehehehe charminglady kumbe na wewe umo eeh.....ntakuja kwenye tuishieni!
Ne vous inquiétez pas ma chérie, je serai ici, là et partout
ok merci trop fille