Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Hiyo bajeti iliandaliwa na kikosi bajeti cha CDM na waliadmit kuwa kulikuwa na typing error sasa unataka kuleta fitina za nini? Kama ni kweli ZITTO ni kibaraka wa magamba ukweli utajulikana na kwa hakika hatadumu CDM!!!!!! But lisemalo laweza kuwepo kama halipo laweza kuja maana ZITTO amesemwa sana jukwaani hapa kwa baadhi ya mahusiano ya kutatanisha na SSM!!!!! Let us wait and see, the truth will prevail at some point in time!!!