Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
sawa kabisa, hizo fikira colleagues wa mr wanazo sana,ukimpitia jioni kumchukua wanaona kama watu tupo paradise mpaka wanamuuliza kama tumeshawahi hata kukaa nusu saa bila kuchekeana....mwenyewe akinihadithia hivyo ananiambia:"wangejua huyu chizi wangu nikimuazima mtu kwa dk 5 atanical nije nimchukue haraka iwezekanavyo"...naishia kufurahi tu mana anajua ana chizi na ndio chizi anamfanya tusonge na maisha vizuri.
ni vizuri uchizi wenu mkaonyeshana wenyewe, watu nje wanajua mpo perfect, kumbe mnajua wenyewe. I like that kwa kweli.