Gerad2008
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 583
- 287
First lady mwambie huyo dada ambane mumewe amweleze ametoka wapi na akikataa awaite wazee wa pande zote awaeleze. hakuna ndoa ya namna hii jamani na huu ni ubabe wa ajabu sana men kumfanyia wife. Inawezekana kuna vitu alivyotarajia kuviona katika mahusiano yenu baada ya kuoana akaja kugundua ni kawaida tu hakuna kubwa.