BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Pretty hongera mpenzi..malezi mema nakutakia mamii!!..
Hongera mama... lakini mtoto anaitwa nani?Hongera sana Mama Naniii
Hivi ipi inauma zaidi kati ya kisu au ile nachuro....samahani kama nimewakwaza, babu anataka kujua tu.Hongera sana na pole na machungu ya kisu... Mungu akujalie umlee vema
Hivi ipi inauma zaidi kati ya kisu au ile nachuro....samahani kama nimewakwaza, babu anataka kujua tu.
Hello wapendwa wanajf!!!
.......Hope you are all well, I'm so happy and thankful....God has blessed me with a healthy and beautiful baby boy.....I had a C section due to medical reasons, ila sasa nipo okay naendelea vizuri.
I'm so proud to be a mother.......safari ya miezi zaidi ya 9 ya kubeba kiumbe tumboni si mchezo, I salute all mothers out there.
Mungu akukuzie ktk kimo na maharifa,awe mtoto msikivu,mmenyekevu na zaidi ya yote mcha Mungu,amuepushe na magonjwa,macho mabaya,na wote wasiomtakia mema,Mungu akulinde na kuponya kidonda chako,akupe nduvu ya na maziwa kwa wingi,nawatakia afya njema.
Hivi ipi inauma zaidi kati ya kisu au ile nachuro....samahani kama nimewakwaza, babu anataka kujua tu.
Kwenye red unamaanisha 'Ndovu'?
Hello wapendwa wanajf!!!
.......Hope you are all well, I'm so happy and thankful....God has blessed me with a healthy and beautiful baby boy.....I had a C section due to medical reasons, ila sasa nipo okay naendelea vizuri.
I'm so proud to be a mother.......safari ya miezi zaidi ya 9 ya kubeba kiumbe tumboni si mchezo, I salute all mothers out there.