My girlfriend hataki kugegedwa zaidi ya bao 1

makuhana

Member
Dec 8, 2015
78
15
Habari zenu jamani, nina shemeji yenu ambae nipo nae kwenye relation almost 3 years until now.

Lakini tatizo kubwa alilonalo huwa hapendi nimgegede Mara 2 (goli 2), anasema mimi huwa nakawia kumaliza nikifanya Mara 2 hajisikii raha zaidi ya maumivu, na siku nikiamua kuforce nimgegede goli 2 kurudi gheto ni issue atanisumbua sana Leo kesho nyingi.

Na mimi naona ka goli ka1 hakanitoshi kabisa nifanyaje?

Naomba kuwasilisha!
 
Hbr zenu jmn,ninashemeji yenu ambae nipo nae kwenye relation almost 3 years until now,lkn ttzo kubwa alilonalo huwa hapendi nimgegede Mara 2 (goli 2),anasema mm huwa nakawia kumaliza nikifanya Mara 2 hajisikii raha zaidi ya maumivu,na siku nikiamua kuforce nimgegede goli 2 kurudi gheto no issue atanisumbua Sana Leo kesho nyingi,na mm naona ka goli ka1 hakanitoshi kabisaaa nifanyaje?
Naomba kuwasilisha!
Ipo sababu zaidi ya hiyo. Weka watu wazi kama unataka msaada
 
Habari zenu jamani, ninashemeji yenu ambae nipo nae kwenye relation almost 3 years until now.

Lakini tatizo kubwa alilonalo huwa hapendi nimgegede Mara 2 (goli 2), anasema mimi huwa nakawia kumaliza nikifanya Mara 2 hajisikii raha zaidi ya maumivu, na siku nikiamua kuforce nimgegede goli 2 kurudi gheto ni issue atanisumbua Sana Leo kesho nyingi,

Na mimi naona ka goli ka1 hakanitoshi kabisaaa nifanyaje?
Naomba kuwasilisha!
sasa anafanya hivyo wakati ni hawara,akishahakikishiwa kuwa house wife si atalala na gauni?
 
kama unajua mapenzi basi utaweza kufanya utakavyo... shida ni kwamba mtu unakomalia penetration tu
 
Habari zenu jamani, ninashemeji yenu ambae nipo nae kwenye relation almost 3 years until now.

Lakini tatizo kubwa alilonalo huwa hapendi nimgegede Mara 2 (goli 2), anasema mimi huwa nakawia kumaliza nikifanya Mara 2 hajisikii raha zaidi ya maumivu, na siku nikiamua kuforce nimgegede goli 2 kurudi gheto ni issue atanisumbua Sana Leo kesho nyingi,

Na mimi naona ka goli ka1 hakanitoshi kabisaaa nifanyaje?
Naomba kuwasilisha!
Ukimtayarisha vizuri kwa raha,mahaba,kumdekeza mbona atataka tena na tenaaaaaaaaa,ukimrukia kama farasi utaambulia
moja daima,badilisha mfumo wa kumtayarisha...........
 
Hamuandaani vizuri.FULL STOP!unless otherwise kweli unachelewa kupiz matokeo yake anakauka halafu inakuwa kero ...
 
Back
Top Bottom