My girlfriend has a girlfriend

Kamchezo kakisha ingia kwenye damu ni ngumu kuacha hata ule mchezo wa kujiexpress huwezi kuacha kamwe.
Ile juzi kati tulikuwa tunapewa analysis ya hako ka mchezo wenyewe wanakwambia kwanza hawashiki mimba halafu pili maambukizo ya VVU hakuna tofauti ukiwa na opposite sex halafu hakuna presha
 
Kwa maoni yangu mila hii sii yetu sisi waafrika na hakuna support yeyote ya ki-biolojia inayoeleza uwepo wa gene inayocontrol hicho kitendo ndani ya jinsia moja. Huu ni muswada ulioletwa baada ya kupitishwa na shetani mwenyewe huko kuzimu. Huyo mdada amemwasi Mungu na ndo maana shetani anamtumikisha. Ushauri, mwambie aachane na tabia hiyo maana kufanya hivyo ni kupingana na Mungu kwa makusudi.
 
Ile juzi kati tulikuwa tunapewa analysis ya hako ka mchezo wenyewe wanakwambia kwanza hawashiki mimba halafu pili maambukizo ya VVU hakuna tofauti ukiwa na opposite sex halafu hakuna presha

Mpwa haka kamchezo ni lazima azame uvinza sasa unataka kuniambia kwenye uvinza hakuna maambukizi?
 
Hapo kwenye dots nafumba macho, ankal inawezekana kwa kiasi kikubwa huyu rafiki yake AD anatafuta ushauri jinsi gani ya kumwambia mume wake na sio namna gani ya kuacha hako kamchezo maana ameishakuwa PROFESSIONAL PLAYER, I tell you wengi wao wanaofanya hako kamchezo kuacha ni ngumu sana

mmmhhhh
Hapana unavyofikiria sivyo..
yeye anataka ushauri wa kuchapa
Mwendo bila ku creat a big drummer
..
dah! mbona tayari keshacreate drama bado drama kuingia sokoni tu. nazani ipo haja ya JF kuanzisha jukwaa la maombi kwa wale ambao hawashauriki. khaaa!
 
Amwambie mume wake ukweli achape mwendo kwa huyo GF wake , mume wake akija kujua atasamba.:A S-key:
 
Mwambie amlaani shetani na asirudie huo uchafu wake. Hayo aliyofanyiwa na huyo mwenzie amuelekeze mumewe a do the same mambo yatakuwa safi tu
 
Hiyo nishughuli kama ambaye ameshakuwa msnge umwambie aache ningumu ila linalowezekani nikuwatenganisha je how??kwa watu wazima shughuli zaidi nikumwambia mumewe ikiwezekana wawambie hatahivyo haitoshi watajiiba tu kazi nikuhama mji basi nakuhakikisha anakuwa naulinzi wakutosha na mda mwingi autumie kanisani au msikitini!!!Ndo ushauri wangu AD
 
mzee wa tip top, pengine hata hakakutongozwa kalitaka kujaribu mambo baada ya kuangalia maporno tu, sasa supu lishaingia mjusi.
Ankal hapo umenikumbusha kuna wengine huwa wanapenda kujaribu ili waone inakuwaje matokeo yake ndio wanakuwa wachezaji bora hata kabla msimu wa ligi haujaisha
 
Amwambie mume wake ukweli achape mwendo kwa huyo GF wake , mume wake akija kujua atasamba.:A S-key:
Kuna mtu alisema itabidi aende na mumewe kama jongoo vile mwisho wa siku usishangae ukakuta zinapigwa THREESOME mume naye ndani
 
Mimi nimemwelewa huyo dada kwani yeye ni bisexual yaani anafanya ngono na wanaume na wanawake,ni jambo la ajabu na wengi wanafanya haya mambo hata rafiki yangu mmoja yupo hapa mikocheni naye anafanya hayo mambo na ilibidi amwambie mumewe.Sasa nakushauri amuingie mumewe polepole na amweleze hiyo raha yake atamwelewa tu akiona shida aniPM nipe contact ya jamaa mmoja ambae ni bingwa wa kushauri wasagaji na mashoga atampa maujuzi
 
What's wrong with dude? If I were him I'd bust a quick rhyme that goes a lil' some like this....my girl gotta a girlfriend, I just found out but it's aiight, as long as I can be with her too. And It's really not a problem coz Imma make it do-what it-do. Coz having two chicks is better than having no chicks. I'd rather just join in. Keep my girl and keep the other one too. Ha haaa....

So just tell dude not to be all uptight about it. Life is too short to fuss about the minutiae of everyday life. Actually, IMO fussing shortens life. He can join in and they can all have one hell of a menage a trois. That way so everyone can be jolly. Does anyone find that to be objectionable?

Oh btw, wassuup JF world? It's been a minute and things done changed since I left. I see tons of new peeps that I barely know. But it's all good. I'm sure the vets did hold down the fort while I was gone. Happy Monday, peace out, and be well.



ehh jaman wewe CHNGEREZA chgumu jaman mimi wala sjaelewa...:help::help:
 
Ankal hapo umenikumbusha kuna wengine huwa wanapenda kujaribu ili waone inakuwaje matokeo yake ndio wanakuwa wachezaji bora hata kabla msimu wa ligi haujaisha
ankal hili dunia sasa hivi ukitaka kujifanya unalichukulia serious unaweza ukaota mvi za kwapa. yaani Afrika bado ni peponi at least kuna ka aibu flani lakini kizazi cha hitler sasa hivi kila kitu ni wazi bin kweupe, unakuta limume linatangazia kabisa kwenye gazeti kwamba linatafuta njemba ikamkunute yeye na waifu wake halaf limume hilo hilo likigombea ubunge linapewa. gademu!
 
Back
Top Bottom