Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Hommie inakuwaje ebwana ile juzi kati tulikuwa tunazungumzia ishu hizi hizi
Sipati picha huyo GF wake alimtongozaje mpaka akakubali?
Hommie inakuwaje ebwana ile juzi kati tulikuwa tunazungumzia ishu hizi hizi
Ile juzi kati tulikuwa tunapewa analysis ya hako ka mchezo wenyewe wanakwambia kwanza hawashiki mimba halafu pili maambukizo ya VVU hakuna tofauti ukiwa na opposite sex halafu hakuna preshaKamchezo kakisha ingia kwenye damu ni ngumu kuacha hata ule mchezo wa kujiexpress huwezi kuacha kamwe.
Ile juzi kati tulikuwa tunapewa analysis ya hako ka mchezo wenyewe wanakwambia kwanza hawashiki mimba halafu pili maambukizo ya VVU hakuna tofauti ukiwa na opposite sex halafu hakuna presha
Hapo kwenye dots nafumba macho, ankal inawezekana kwa kiasi kikubwa huyu rafiki yake AD anatafuta ushauri jinsi gani ya kumwambia mume wake na sio namna gani ya kuacha hako kamchezo maana ameishakuwa PROFESSIONAL PLAYER, I tell you wengi wao wanaofanya hako kamchezo kuacha ni ngumu sana
dah! mbona tayari keshacreate drama bado drama kuingia sokoni tu. nazani ipo haja ya JF kuanzisha jukwaa la maombi kwa wale ambao hawashauriki. khaaa!mmmhhhh
Hapana unavyofikiria sivyo..
yeye anataka ushauri wa kuchapa
Mwendo bila ku creat a big drummer..
Yeah huu ushauri wa busara aombe talaka aende akaolewa na huyo msagaji.
Bora afanye mapema kabla jamaa hajagundua maana itakuwa balaaa.
Ile juzi kati tulikuwa tunapewa analysis ya hako ka mchezo wenyewe wanakwambia kwanza hawashiki mimba halafu pili maambukizo ya VVU hakuna tofauti ukiwa na opposite sex halafu hakuna presha
Hivi yeye ni msagwaji au msagaji?
mzee wa tip top, pengine hata hakakutongozwa kalitaka kujaribu mambo baada ya kuangalia maporno tu, sasa supu lishaingia mjusi.Sipati picha huyo GF wake alimtongozaje mpaka akakubali?
Hehehe hiyo ni kwa mujibu wa yule aliyekuwa akituelezea hiyo kituTF kwa hizo ndio faida zakee?????
Ankal hapo umenikumbusha kuna wengine huwa wanapenda kujaribu ili waone inakuwaje matokeo yake ndio wanakuwa wachezaji bora hata kabla msimu wa ligi haujaishamzee wa tip top, pengine hata hakakutongozwa kalitaka kujaribu mambo baada ya kuangalia maporno tu, sasa supu lishaingia mjusi.
Kuna mtu alisema itabidi aende na mumewe kama jongoo vile mwisho wa siku usishangae ukakuta zinapigwa THREESOME mume naye ndaniAmwambie mume wake ukweli achape mwendo kwa huyo GF wake , mume wake akija kujua atasamba.:A S-key:
What's wrong with dude? If I were him I'd bust a quick rhyme that goes a lil' some like this....my girl gotta a girlfriend, I just found out but it's aiight, as long as I can be with her too. And It's really not a problem coz Imma make it do-what it-do. Coz having two chicks is better than having no chicks. I'd rather just join in. Keep my girl and keep the other one too. Ha haaa....
So just tell dude not to be all uptight about it. Life is too short to fuss about the minutiae of everyday life. Actually, IMO fussing shortens life. He can join in and they can all have one hell of a menage a trois. That way so everyone can be jolly. Does anyone find that to be objectionable?
Oh btw, wassuup JF world? It's been a minute and things done changed since I left. I see tons of new peeps that I barely know. But it's all good. I'm sure the vets did hold down the fort while I was gone. Happy Monday, peace out, and be well.
hapo kipi bora??
ankal hili dunia sasa hivi ukitaka kujifanya unalichukulia serious unaweza ukaota mvi za kwapa. yaani Afrika bado ni peponi at least kuna ka aibu flani lakini kizazi cha hitler sasa hivi kila kitu ni wazi bin kweupe, unakuta limume linatangazia kabisa kwenye gazeti kwamba linatafuta njemba ikamkunute yeye na waifu wake halaf limume hilo hilo likigombea ubunge linapewa. gademu!Ankal hapo umenikumbusha kuna wengine huwa wanapenda kujaribu ili waone inakuwaje matokeo yake ndio wanakuwa wachezaji bora hata kabla msimu wa ligi haujaisha
alikuwa anaelezea kurudi kwa yesu. alleluyah!ehh jaman wewe CHNGEREZA chgumu jaman mimi wala sjaelewa...:help::help: