My favorite post today!

LazyDog

JF-Expert Member
Apr 10, 2008
2,473
189
Kufuatilia mjadala bofya hapa chini,
CHADEMA yafikiri kujiengua ushirika wa wapinzani!
Gustanza vita dhidi ya Mafisadi si ya wachache. Ni ya Watanzania wote wenye nia njema na nchi hii. Ningelikusifu ungelikuwa unatoa way forward. Sioni courage katika criticism yako. Ninaona dalili za kukataa tamaa. sina hakika na sababu lakiini inatisha na kusikitisha kwa kizazi chetu. Wajukuu na vitukuu hawatakuelewa kabisa. Walioko ndani ya Bunge tumetimiza majukumu yetu, tumefungua milango, vita hivi vinahitaji kupokelewa na kila sekta katika jamii yetu. Hata wananchi wa kijiji waliopokea ujumbe, wakashika mabango, wakazomea waliotaka kupotosha, wakadai kabla ya kuelezwa chochote mabilioni yao yarejeshwe yanawazidi wasio na ujasiri na pessimists.

Mkuu labda hufahamu Bungeni tunafanya kazi kwa Kanuni. Tukinyamaza ni kwa vile Kanuni zinaratibu hatua inayofuata. Ngojea uone Courage siku itakapofika. Lakini tunategemea kama nawe ni 'mwana wa nchi' utaunga pia vita hii' kwa ujasiri wote, tena huna Kanuni zinazokuratibu...angalau kutoa mawazo Constructive humu JF.
What is your favorite?
 
Am impressed na very many comments.Zingine ni encouraging,dicouraging na zingine hazina hata definition but all in all you get their intended messages!


Sure! When you do find those that you strongly feel others should not miss, don't be shy to point it out.

Sometime later I will bring quotes from TV programs. Last week I did enjoy watching Prof. Issa G. Shivji on channel 10, the discussion was about "Zanzibar si/ni nchi". Some of you did miss the show, didn't you?



.
 
Sure! When you do find those that you strongly feel others should not miss, don't be shy to point it out.

Sometime later I will bring quotes from TV programs. Last week I did enjoy watching Prof. Issa G. Shivji on channel 10, the discussion was about "Zanzibar si/ni nchi". Some of you did miss the show, didn't you?.

Our Saviour.God Bless You!
 

Iliandikwa tarehe: 8th April 2008

"SASA imedhihirika kwamba jamaa huyu hawezi kushughulikia lolote; na hawezi kupambana na mikikimikiki. Anaweza tu kuzunguka huku na kule, akisukumwa na kuelekezwa kama kipofu.


"Ndivyo alivyojishughulisha na mwafaka wa Kibaki na Odinga...Ukimwacha tu aende peke yake mitaani, ndio anagongwa na magari (Richmond), pikipiki (dili za madini)... sasa zikija FUSO zilizojaa mizigo; au mabasi yanayokimbiza si ndio atakufa kabisa!...Amejiweka katika kona mbaya, sijui kama CUF watamuachia...Ngoja tuone."

Nukuu hiyo hapo juu imetoka kwa Mtanzania mmoja akichambua hatima ya vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM vilivyofanyika Butiama wiki iliyopita, kwa kushindwa kufanya maamuzi mazito kama ilivyotarajiwa, hasa kwa kukataa kubariki utekelezaji wa mwafaka kati ya CCM na CUF.


+447847922762
ansbertn@yahoo.com
www.ngurumo.blogspot.com



Makala nzima inapatikana hapa: Adui wa Kikwete si Karume


.
 
Back
Top Bottom