HP1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2012
- 3,362
- 874
Jambo wana JF. Juzi nikiwa Arusha kwenye Trade Fair nilifanikiwa kukutana na mpenzi wangu wa zamani, takriban 9 years a go hatujawahi kuonana, nikiwa na shop around, nilishangaa mtu ananirikia mgongoni nikakosa balans tukaanguka chini, kugeuka nikakuta ni yule wangu wa zamani, akanibusu na kunilisha juice yake kidogo, watu walishangaa na walinzi wa G4S walishakaribia, huyu mdada nilimpenda sana, leo amenialika Uganda anako ishi na amenitumishia Flight ticket niende next week. je nifanyeje?
What are you waiting for?