My-Ex

Rogue

Member
Feb 15, 2009
17
1
Heshima wakuu..

inakuaje pale umeachana na mamsapu wako kitambo na bado yuko ndotoni kama jana vile?
nimeachana na ishu yangu miaka 4 iliyopita but bado nina filingz nae mnoo.kwasasa tuko mbali mbali,yeye yuko bongo.
dont get me wrong i have moved on since then,but kila demu naempata i cant stop comparing to my ex.i want her back.

so far najua hajaolewa.


wakuu msaada tafadhali...nitalitatuaje hili tatizo?
 
yawezekana uliachana nae kwa hasira za ujana tu
ila bado wampenda. sasa bora mfuatilie uone kama
na yeye anazo feelings kali kwako. kama bado na yeye
amekuzimia na unasema bado hajaolewa bora uanze
masuala ya baby come back.
 
Heshima wakuu..

inakuaje pale umeachana na mamsapu wako kitambo na bado yuko ndotoni kama jana vile?
nimeachana na ishu yangu miaka 4 iliyopita but bado nina filingz nae mnoo.kwasasa tuko mbali mbali,yeye yuko bongo.
dont get me wrong i have moved on since then,but kila demu naempata i cant stop comparing to my ex.i want her back.

so far najua hajaolewa.


wakuu msaada tafadhali...nitalitatuaje hili tatizo?

..."huenda" naye hajaolewa sababu anawa compare nawe, Get her back ASAP!!!
 
Heshima wakuu..

inakuaje pale umeachana na mamsapu wako kitambo na bado yuko ndotoni kama jana vile?
nimeachana na ishu yangu miaka 4 iliyopita but bado nina filingz nae mnoo.kwasasa tuko mbali mbali,yeye yuko bongo.
dont get me wrong i have moved on since then,but kila demu naempata i cant stop comparing to my ex.i want her back.

so far najua hajaolewa.


wakuu msaada tafadhali...nitalitatuaje hili tatizo?

Au umesikia EX mambo yake ni mazuri financially ndio unatafuta mbinu za kurudi?

Maana ushasema wewe ni rogue!
 
kama unajua hajaolewa na bado unamhitaji,mtafute na umwelezee hali halisi. Express your feelings upate feedback, huenda nae anakuhitaji ila wote hamfahamu hili.

Btw, comparing your lovers is so bad. Just know that each person you date differ in one way or another. Appreciate them in their ways!
 
...hakuna kitu kitamu kama 'B-C-B!' ...BABY COME BACK!...

BTW, umbali na utengano wenu umekufanya uelewe ni kwa jinsi gani huyo Bi mrembo anakufaa kwenye maisha yako kuliko mwanamke mwingine yeyote, ndio maana tukaambiwa; 'huwezi jua thamani ya kitu/mtu mpaka umpoteze!'

Rekindle your flames bro,... usijitafutie kufa na tai yako shingoni bureee sababu ya pride za uanaume wakati kisebu sebu na kiroho kinadundia kwake! :D
 
Miaka minne mingi! Sio mbaya kumcheck ex wako ila nenda taratibu, kuna uwezekano kwa sasa anaishi maisha tofauti na unavyoimagine. The best solution ninayoweza kukushauri ni kukubaliana na hali halisi na ku-move on. Kutegemea kuishi maisha uliyoishi miaka minne iliyopita kunaweza kukakusababishia disappointment kubwa zaidi. Its not so easy to grow up, part of which is to loose people who really matter.
 
Heshima wakuu..

inakuaje pale umeachana na mamsapu wako kitambo na bado yuko ndotoni kama jana vile?
nimeachana na ishu yangu miaka 4 iliyopita but bado nina filingz nae mnoo.kwasasa tuko mbali mbali,yeye yuko bongo.
dont get me wrong i have moved on since then,but kila demu naempata i cant stop comparing to my ex.i want her back.

so far najua hajaolewa.


wakuu msaada tafadhali...nitalitatuaje hili tatizo?


....We are reading you Loud and Clear, Man! You did not Move On and that is why You Keep Thinking about her! Go Back and Get Down...On A Bended Knee!!!
 
Mapenzi ni kitu cha ajabu sana ndio maana watu wanasema ni nusu ya ukichaa.Kuna mdogo wangu wa kiume ambaye ana girlfriend wake 'on and off ' kwa miaka kumi ilopita. Utawaona kwenye mapenzi mazito baada ya muda wameachana,inapita miezi hata mwaka unawaona wamerudiana na wanapendana ajabu baada ya muda tena wameachana.Nikumuuliza anasema anamuota kila mara hata wakiachana,kajaribu ku-date wengine anashindwa,na girlfriend nae nasikia kuna muda kwao hata hali kwa kumuwaza bwana mdogo.Kwahiyo Rogue nimekuelewa.
 
Follow your heart.

Kwanza jiulize: Unataka kuwa naye kwa mda..umalize hamu ya kimwili
(ku--ana) then kila mtu achukue time zake au unataka uwe naye kama mwenzi wako na hatimaye umuite mama watoto na yeye akuite baba watoto? Kama jibu ni hiyo option ya pili...basi...fufua mahusiano..na kama mna pendana basi, kitaeleweka.

Ila kama shida yako ni kula kichwa...ningekushauri umuache tuu...maana mtapotezeana mda wakati hakuna substantive issues among you people. Tafuta mdada mwingine.
 
Heshima wakuu..

inakuaje pale umeachana na mamsapu wako kitambo na bado yuko ndotoni kama jana vile?
nimeachana na ishu yangu miaka 4 iliyopita but bado nina filingz nae mnoo.kwasasa tuko mbali mbali,yeye yuko bongo.
dont get me wrong i have moved on since then,but kila demu naempata i cant stop comparing to my ex.i want her back.

so far najua hajaolewa.


wakuu msaada tafadhali...nitalitatuaje hili tatizo?

Wasiliana naye haraka sana wala usisite kumwambia ukweli toka moyoni kwako kwamba, "I want you back, I am still in love with you." Watu wanaachana na kurudiana, wewe hutakuwa wa kwanza kufanya hivyo au wa mwisho na wala si dhambi kumrudia mkeo/mumeo.
 
wakuu...
first of all ngoja niweke mambo uwazi zaidi ili m-weigh in hii ishu kwa uzuri..ni mimi ndo nilimtendea ubaya kwa ku-dump,thinking the "grass is greener on the otha side", ofcourse ukichangia na utoto wa akili basi nikajua demu analeta za kuleta.
nikaanza kuwa na ishu nyingine,my ex found out and she was willimg to work things through but mimi kijogoo nikampiga chini for good.

how wrong was i to think the grass is greener.....nimezunguka na kuzunguka,and now i know for sure she was ONE OF A KIND!!!!!!ALINIPENDA FROM HER HEART AND I LET HER GO,AND NOW IM IN PAIN UNIMAGINABLE...

WILL SHE FORGIVE ME AFTA THIS LONG? i love her na i miss her daily
 
wakuu...
first of all ngoja niweke mambo uwazi zaidi ili m-weigh in hii ishu kwa uzuri..ni mimi ndo nilimtendea ubaya kwa ku-dump,thinking the "grass is greener on the otha side", ofcourse ukichangia na utoto wa akili basi nikajua demu analeta za kuleta.
nikaanza kuwa na ishu nyingine,my ex found out and she was willimg to work things through but mimi kijogoo nikampiga chini for good.

how wrong was i to think the grass is greener.....nimezunguka na kuzunguka,and now i know for sure she was ONE OF A KIND!!!!!!ALINIPENDA FROM HER HEART AND I LET HER GO,AND NOW IM IN PAIN UNIMAGINABLE...

WILL SHE FORGIVE ME AFTA THIS LONG? i love her na i miss her daily

Hongera kwa kuwa mkweli na kutueleza nini kilichojiri hadi kuachana na kipenzi chako. Miaka minne ni mingi, lakini kama hajaolewa basi hilo la miaka minne si tatizo. Muombe samahani na kumwambia kwamba ulikuwa 'utoto wa akili' uliosababisha 'umpige chini mkeo' kwa kujua kwamba 'the grass is greener on the other side' tena naona ingekuwa vizuri ungempigia simu sasa hivi kama unajua namba yake au kuitafuta na kuanza kuomba samahani na kumuomba mrudiane kama mke na mume vinginevyo utaendelea kujilaumu for the rest of your life
 
wakuu...
first of all ngoja niweke mambo uwazi zaidi ili m-weigh in hii ishu kwa uzuri..ni mimi ndo nilimtendea ubaya kwa ku-dump,thinking the "grass is greener on the otha side", ofcourse ukichangia na utoto wa akili basi nikajua demu analeta za kuleta.
nikaanza kuwa na ishu nyingine,my ex found out and she was willimg to work things through but mimi kijogoo nikampiga chini for good.

how wrong was i to think the grass is greener.....nimezunguka na kuzunguka,and now i know for sure she was ONE OF A KIND!!!!!!ALINIPENDA FROM HER HEART AND I LET HER GO,AND NOW IM IN PAIN UNIMAGINABLE...

WILL SHE FORGIVE ME AFTA THIS LONG? i love her na i miss her daily


Rogue, lakini nadhani kuna haja ya kuangalia practicality za huo uhusiano unaotaka kuufufua. Huyo binti umesema yuko Bongo. Wewe hujasema ulipo lakini inaonyesha uko nje ya nchi. Sasa unategemea i-work vipi?
Mapenzi ni psychological thing, ukijitambua vizuri haiwezi kukusumbua kama inavyokusumbua sasa. Nadhani unahitaji cognitive therapy ili uwe fit kumove on na maisha yako. Hii ya kuona maisha hayaendi sawa mpaka mtu fulani awashe mshumaa siyo nzuri kwa afya ya akili yako.
 
Rogue, lakini nadhani kuna haja ya kuangalia practicality za huo uhusiano unaotaka kuufufua. Huyo binti umesema yuko Bongo. Wewe hujasema ulipo lakini inaonyesha uko nje ya nchi. Sasa unategemea i-work vipi?
Mapenzi ni psychological thing, ukijitambua vizuri haiwezi kukusumbua kama inavyokusumbua sasa. Nadhani unahitaji cognitive therapy ili uwe fit kumove on na maisha yako. Hii ya kuona maisha hayaendi sawa mpaka mtu fulani awashe mshumaa siyo nzuri kwa afya ya akili yako.


hapana mkuu...nimeuelewa sana point yako.
tatizo sio maisha hayasongi bila yeye,swala muhimu ni utambua wangu kwamba yeye ndo choice yangu maishani,i regret it took a while for me kujua this.yeye ndo napenda awe "maza hausi"..sasa kama itashindikana basi inshallah,yote anapanga Muumba.
 
hapana mkuu...nimeuelewa sana point yako.
tatizo sio maisha hayasongi bila yeye,swala muhimu ni utambua wangu kwamba yeye ndo choice yangu maishani,i regret it took a while for me kujua this.yeye ndo napenda awe "maza hausi"..sasa kama itashindikana basi inshallah,yote anapanga Muumba.


Usiumize kichwa mheshimiwa,tusije tukakukosa.mbona simpo!nenda on BENDED KNEE.Wasiliana nae ujue upepo unapuliza wapi,.be ready for whatever!
 
hapana mkuu...nimeuelewa sana point yako.
tatizo sio maisha hayasongi bila yeye,swala muhimu ni utambua wangu kwamba yeye ndo choice yangu maishani,i regret it took a while for me kujua this.yeye ndo napenda awe "maza hausi"..sasa kama itashindikana basi inshallah,yote anapanga Muumba.

Wasiliana naye kabla ya kukata tamaa, mwambie ukweli kama ulivyousema hapa jamvini. Si ajabu na yeye 'anakumiss' na kukumbuka kila siku kama ufanyavyo wewe..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom