Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,076
- Thread starter
- #21
Hamna noma nitalog off kama vile sijui kitu. Nalog offKama vipi log off kama ulivyofanya pale bar. Dnt ask dnt tell
Hamna noma nitalog off kama vile sijui kitu. Nalog offKama vipi log off kama ulivyofanya pale bar. Dnt ask dnt tell
Hakuna shaka bi dada nitalog off kimya kimya. Nalog offUnless kuna kitu cha hatari sana ambacho anacho ama anafanya huyo dada, its none of ur damned business. Usije ukajigeuza PR wa huyo dada. Kesho ukimuona na mtu tena utaenda kujieleza ama? Hebu log off baba!
Bi dada mie silalamiki ila nachoogopa ni kumnyima raha mshikaji endapo atakapojua ya kuwa kumbe na mimi nimeshapita. Nalog offhalua haina makombo, na wala haipungui utamu. Mwache best wako ajipatie kisima cha burudani, si wewe ulishindwa? Unalalamika nini?
Kama demu kaukwaa tayari mwambie mshikaji,kama bado uchubue mshikaji agonge mzigo,nawe siku ukizidiwa na oil rudi kwa huyox upunguze kidogo,Tunagawana umaskini,usijipe pressure kaka.Hamna noma nitalog off kama vile sijui kitu. Nalog off
Hahahaha aminia nitauchubua ili tuendelee kugawana umaskini. Nalog offKama demu kaukwaa tayari mwambie mshikaji,kama bado uchubue mshikaji agonge mzigo,nawe siku ukizidiwa na oil rudi kwa huyox upunguze kidogo,Tunagawana umaskini,usijipe pressure kaka.
Hapana bado sijaukwaa,wanadai sie wenye damu ya group o +ve hatuupati huu ugonjwa. Nalog off
Hayakuhusu wala hayamhusu mambo ya kwako wacha yawe ya kwako,zaidi ya hapo utakuwa ni umbeya,unataka umwambie ili iweje,hata akija jua pia hawezi kukulaumu kwani wewe ulianza kabla ya yeye,na alipomtaka huyo bibiye hakuja kwako kukutaka ushauri kumbuka huyo ni rafiki yako(?)pia nashangaa kweli kama huyo ni rafiki yako sababu angejua uhusiano wako na huyo ex wakoHabari za jumamosi waungwana wenzangu,nafikiri wote mko safi mnaendelea na shughuli za kila siku,jana nilikwenda bar kufurahisha macho kidogo na kupiga stori na wabongo wenzangu,basi kuingia katika ile bar nikamkuta rafiki yangu yuko pamoja na ex wangu ndio wanaikamua Ijumaa,mzee nikawasalimia na nikaendelea na zangu,sasa najiuliza nimwambie mshikaji kuwa pale mimi nimeshapita au niuchune? je mshikaji akija kujua kama mimi nilipita na nimeuchuna sijamwambia kitu halitokuwa tatizo? Nalog off
Hapana sikuwa na lengo hilo,mie nilikwenda kuuza sura tu ndio nikayaona hayo
vinamshambulia yeyote yule.Nalog offhuo ni utafiti wa Zamani kabla virusi havijazeeka. Hivi vya sasa vimezeeka.
umeme ulikatika wakati naandika hiyo post,nashukuru kwa kuliona hilo.Nalog offumesahau ku log off
huyu my ex wangu tulimwagana mwaka 2009 na huyu rafiki ndio kaja mwezi wa 7 mwaka huu,kwahiyo hawezi jua yaliyokuwa yakijiri kabla ya yeye kufika.Nalog offHayakuhusu wala hayamhusu mambo ya kwako wacha yawe ya kwako,zaidi ya hapo utakuwa ni umbeya,unataka umwambie ili iweje,hata akija jua pia hawezi kukulaumu kwani wewe ulianza kabla ya yeye,na alipomtaka huyo bibiye hakuja kwako kukutaka ushauri kumbuka huyo ni rafiki yako(?)pia nashangaa kweli kama huyo ni rafiki yako sababu angejua uhusiano wako na huyo ex wako
si anaweza akamwambia kuwa mimi nakuacha kwasababu washawasha alikuwa my boyfriend wako,huoni kama demu atanimaindi? Nalog offmwambie tu ajue
nimwambie ama sio? Nalog offFunguka tu.......
hapana sijaumia mkuu,ila ile ishu na my wife wangu ni kwamba kanielewa bila chenga,nimejua kama jamaa anamega kwa ile mishemishe ya kukumbatiana na madenda bila chenga.Nalog offUmeumiiiiiiiiiiiiiiiiiia, Me nimekuelewa Washawasha.
We chubua tu msela aendelee kula Mzigo ado ado.
PS: We umejuaje kama msela anamega, no wonder walienda hapo kwa issue nyingine,all in all Vp ile issue yangu na my wife wako?
Na login
hakuna noma mkuu Snoop nitalog off oa.Nalog offAchana nao. Waache wafanye maisha yao. Wewe log off.