shikaamoo mkuu..
mmmhhh mbona umepte hivyo ...
nini kulikoni??
Nipo aisee....nilienda sumbawanga kuongeza nguvu za uchawi...naona siku hizi nguvu zimepungua...
shikaamoo mkuu..
mmmhhh mbona umepte hivyo ...
nini kulikoni??
Nipo aisee....nilienda sumbawanga kuongeza nguvu za uchawi...naona siku hizi nguvu zimepungua...
Mshahara ni kama hedhi, unakuja na kukaa siku 3 hadi 7, usipokuja ujue una mimba tayari.
hahahahahha lol umenifurahisha sana lol
sasa utakuja kwa ungo au kwa mkeka??
si unaujua sasa hivi ndo muda wa kujirusha huku...lol
nahitaji partner chap chap hahahhah lol
LOL...
Ntakuja...sihitaji hata address...infact sehemu ya kwanza kwenda ni huko kwako...get prepared...
Mshahara ni kama hedhi, unakuja na kukaa siku 3 hadi 7, usipokuja ujue una mimba tayari.
How about Dear Bottle? Was it part of your last month salary plan? Ahahaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!! have ten for a weekend.
Nimeomba advance lakini najua na hizi sikukuu mhhhhh
Yeah nimekukubali!
It comes once in a month, within 3 to 4 days is finished, then u sit waiting for the next months coming, knowing that its inevitable. If not then you should know that you have been fu.cked
Askofu nami usinisahau kwenye huo ufalme wake this X-mas.Hahahaaa.... I can imagine the pressure Rev, njoo nikukopeshe sadaka
Nguo za watoto for sikukuu, Mbuzi and Mbege for Christmas and New Year....
Pole
Mensr doesnt show up and you been knocked, salary doesnt get and you have been fired.........
kuna wakati najiuliza kama mammalia wengine nao wanapata hedhi.....kama hawapati, kwa nini binadamu apate peke yake!
Hahahahaaaaa dah! hizi comment nyingine bana, haya tangu lini mambo haya yakawa kama hayo? lakini kama vile kweli eeh, ina maana kuna wale wanaopata mara mbili kwa mwezi vipi na salary ni vivyo hivyo?
mammalia wengine hawapati hedhi is bcoz binadamu wako sexually driven zaidi kuliko wanyama.Mensr doesnt show up and you been knocked, salary doesnt get and you have been fired.........
kuna wakati najiuliza kama mammalia wengine nao wanapata hedhi.....kama hawapati, kwa nini binadamu apate peke yake!
...we RR....unapogusa wanyama unanigusa ZEANIMO......huwa wanapata but hamna mnyama yeyote aliyeweza kufikia hedhi stage coz ni lazima apigwe kimimba pindi anapotoa kaharufu (aroma) kwa kuhashiria yu tayari kujamiana bila kinga. Ndio maana population yao ni kubwa japo kuna mapredator etc.
mammalia wengine hawapati hedhi is bcoz binadamu wako sexually driven zaidi kuliko wanyama.
Mi ni mfugaji sijawahi kumwona ng'ombe ameingia hedhi!
Labda wataalam watadadavua zaidi!
overt menstruation (where there is blood flow from the uterus through the va***a) occurs primarily in humans and some other animals such as chimpanzees.
Females of other species of placental mammal undergo estrous cycles, in which the endometrium is completely reabsorbed by the animal (covert menstruation) at the end of its reproductive cycle.
source
habari za asubuhi mkuu vipi umeishaanza kupangua gia au muda bado???
Nani atakua Dar leo??
Nimeanza likizo so i am as free as a butterfly
nani atakua dar leo??
Nimeanza likizo so i am as free as a butterfly