My car, our car!! - Kaazi kweli!

hahahaha hapa namsubili pacha wangu Masa maana nitashambuliwa bure.

...wewe sema tu; sababu ya mbolea yenye rutuba bana. masa hataki kuchangia siku hizi, huenda 'ki-limbwata' kishamkolea!

........ Heeh! please jamani isiwe kweli maana watu na 'packages' zetu za uhakika tu tusijefikiriwa wateja wa huduma hiyo!! haha:confused:

...wanawa mikono hata chakula hakijaiva?! :D
 
...wewe sema tu; sababu ya mbolea yenye rutuba bana. masa hataki kuchangia siku hizi, huenda 'ki-limbwata' kishamkolea!



...wanawa mikono hata chakula hakijaiva?! :D


watu na 'packages' original bwana........ahahahhaha kali sna hiyo
 
Kuna vitu havijakaa sawa bibie......anyways vitu vingine saa nyingine ni bora kutovijua....:rolleyes: lol

..."tch -tch -tch!"

...Kaizer, nini kikusikitishacho? umegundua chako chenu, chake chake ama? ...usijali bana, vitu vyenyewe tunaviacha hapa hapa duniani..

chako roho tu!
 
Hii ni changamoto kwa wale wanaoanza kila mtu akiwa na vyake... kuvichanganya viwe vya wote....
Mie na mwenzangu tulianza kila mtu hana kitu..katoka kwao nami kwetu..tukaanza kutafuta vyetu from the word GO.

Kuna changamoto pia kwa wale wanaoanza na mwenza mwenye vyake.Utakuta mara nyingi japo si zote mwanamke anatoka kwao hana zaidi ya sanduku lake..anaenda kuolewa na mwanaume mwenye kila kitu..... sijui huyo mdada anaanza vipi kusema " gari letu" au "nyumba".The only "thing" she can dare say with confidence ni ..." mtoto/watoto wetu" kwa sababu atakuwa ameshiriki kumpata mtoto huyo.
Ni mawazo yangu lakini.

WoS, nakubaliana na wewe. Hata mimi tulianza from the word go. nina hiki yeye ana kile, vyote vinakuwa vyetu. Ni kweli kuna changamoto kama mmoja amemkuta mwenzia ameadvance sana, lakini naamini pia kama kweli mpo mwili mmoja, bado haitakiwi kuwe na feeling ya hiki changu na kile chake kwa maana ya matumizi,,

Kuna mchangiaji mmoja pia amesema hiyo lugha ya 'changu' au chako haimaanishi 'umiliki', ni namna tu mtu anavokuwa amezoea kutumia kitu flani,
Mfano, kama tuna gari mbili moja prado na nyingine lets say saloon, huenda nikapendelea kutumia prado na wife yeye akapendelea saloon, lakini si ajabu prado 'kaninunulia' wife na mi nimemnunulia saloon so hapo akisema 'ebu kapande gari 'lako' inaeleweka.

Ninachoogopa mimi ni ile hali ya kuwa mtu anakuwa anamaanisha 'umiliki' na hakuna 'kugusa' gari ya mwengine..case kama hizi nimeziona na kwa upande wangu ni detrimental kwenye mahusiano!
 
...Kaizer, nini kikusikitishacho? umegundua chako chenu, chake chake ama? ...usijali bana, vitu vyenyewe tunaviacha hapa hapa duniani..

Sijui kwa nini akina mama iwa wanapenda hivi yaani chake ni chake changu chetu....duh kazi kweli kweli.
 
..."tch -tch -tch!"

...Kaizer, nini kikusikitishacho? umegundua chako chenu, chake chake ama? ...usijali bana, vitu vyenyewe tunaviacha hapa hapa duniani..

chako roho tu!


Mkuu Mbu...sasa si bora kuumwa 'malaria' kuna dawa kuliko kujua kuwa changu ni chetu na chake ni chake.....:confused:
 
...wewe sema tu; sababu ya mbolea yenye rutuba bana. masa hataki kuchangia siku hizi, huenda 'ki-limbwata' kishamkolea!



...wanawa mikono hata chakula hakijaiva?! :D

Ukiona ivo mkuu ujue 'mbu' wengi!:D
 
...wewe sema tu; sababu ya mbolea yenye rutuba bana. masa hataki kuchangia siku hizi, huenda 'ki-limbwata' kishamkolea!



...wanawa mikono hata chakula hakijaiva?! :D

........... Mradi sufuria ishabandikwa jikoni kitaiva tu na harufu ishaanzasikika.
 
What about one of you baada ya kuoana kagundua kua una madeni kibao, i.e bank loan cai instalment etc. will you still say our madeni ?

HAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,kwe kwe,kwe,kwi,kwiiiiiiiiiiiiii.
 
Mkuu Mbu...sasa si bora kuumwa 'malaria' kuna dawa kuliko kujua kuwa changu ni chetu na chake ni chake.....:confused:

... we acha tu!

fikiria;

...hati ya kiwanja jina lake, hati ya nyumba jina lako. Mkigombana anakwambia "...e bana eeh...chukua nyumba'ko uondoke hapa! "
 
Mimi naboreka na huu mjadala frankly speaking sitaki kuwa mnafiki, nasema hivi kwasababu tunajadili hii mada kama vile tunaishi USA, UK, au Japan. Manake michango minigi hapa imelalia tu kwa wale mume na mke wote wenye kazi nzuri ambazo mama anaweza kumnunulia gari baba na baba akamnunulia gari mama. Mnasahau kwamba Tanzania bado kuna watu wengi sana hawana kazi nzuri za kuwapa kipato cha kulingana au kutofautiana kidogo sana.
Tujadili hii mada tukijua kuwa bado kuna wanaume wanaoa wanawake ambao ni VII, form four or form six leaver ambao hawana kazi na hawana ujuzi wowote kwa hiyo wanakaa nyumbani kama akina mama wa nyumabani wakisubiri mipango mingine ya maisha.
Sasa kwa huyu ambaye ameolewa na mwanamume mwenye kila kitu kuna kosa gani akasema kuwa hili gari ni la kwetu. Hivi tunataka kusema kuwa mke ametembelewa na rafiki zake halafu hapo nje kuna Landcruiser akaulizwa hii gari ni ya nani aseme ni ya mume wangu. Mimi nafikiri anaweza kusema tu hivyo katika mazingira ya kawaida lakini kimsingi anatakiwa aseme hii ni gari yetu na wala sio ya mume wangu.
Hapa inabidi turuudi kwenye traditional approach or meaning ya nini maana ya ndoa, na kama hiyo haitoshi turuudi kwenye religion poit of view nini maana ya ndoa na nini maana ya mume na mke. Jibu linakuwa wazi kabisa kuwa mnapokuwa kwenye ndoa kila mnachokifanya au ambacho kilishafanywa na mmoja wenu kabla ya ndoa kinakuwa chenu wote.
Haiingii akilini eti mume au mke aache kuilinda au kusema gari hili ni la kwetu kwa sababu tu alimkuta nayo mume au mke wake kabla ya kuoana, sio kweli hizo ni mali zenu wote bila kujali alikukuta nayo au mmeipata mkiwa pamoja.
Kinachotokea hapa au siku hizi ni kwa sababu tuna mapenzi ya mang'amung'amu na tunaoana kwasababu tu tunapendeza tukitembea barabarani au tusipooana watu, marafiki ndugu na classmates tuliosoma nao watatushangaa sana kwahiyo tuoane tu. Ndio haya kila mtu anakuwa na cha kwake hadi baadae kila mtu anakuwa na mlango wake wa kutokea.
Naona tunaweka uzungu sana hapa na tunasahau kuwa bado watu wanaoana mmoja akiwa hana kitu lakini maisha yanakwenda kwasababu wanajua maana ya ndoa na base ya ndoa na sio ndoa za kufunga kwasababu ya marafiki na ili mfunge harusi za kutingisha jiji
Naamini kabisa gari au mali bado inaweza kuwa yetu kama tutaacha ujinga na umaskini wa kufikiria bila kujali kama mlianza kuchuma pamoja au la,
HESHIMA NA MAPENZI YA DHATI
 
Mimi naboreka na huu mjadala frankly speaking sitaki kuwa mnafiki, nasema hivi kwasababu tunajadili hii mada kama vile tunaishi USA, UK, au Japan. Manake michango minigi hapa imelalia tu kwa wale mume na mke wote wenye kazi nzuri ambazo mama anaweza kumnunulia gari baba na baba akamnunulia gari mama. Mnasahau kwamba Tanzania bado kuna watu wengi sana hawana kazi nzuri za kuwapa kipato cha kulingana au kutofautiana kidogo sana.
Tujadili hii mada tukijua kuwa bado kuna wanaume wanaoa wanawake ambao ni VII, form four or form six leaver ambao hawana kazi na hawana ujuzi wowote kwa hiyo wanakaa nyumbani kama akina mama wa nyumabani wakisubiri mipango mingine ya maisha.
Sasa kwa huyu ambaye ameolewa na mwanamume mwenye kila kitu kuna kosa gani akasema kuwa hili gari ni la kwetu. Hivi tunataka kusema kuwa mke ametembelewa na rafiki zake halafu hapo nje kuna Landcruiser akaulizwa hii gari ni ya nani aseme ni ya mume wangu. Mimi nafikiri anaweza kusema tu hivyo katika mazingira ya kawaida lakini kimsingi anatakiwa aseme hii ni gari yetu na wala sio ya mume wangu.
Hapa inabidi turuudi kwenye traditional approach or meaning ya nini maana ya ndoa, na kama hiyo haitoshi turuudi kwenye religion poit of view nini maana ya ndoa na nini maana ya mume na mke. Jibu linakuwa wazi kabisa kuwa mnapokuwa kwenye ndoa kila mnachokifanya au ambacho kilishafanywa na mmoja wenu kabla ya ndoa kinakuwa chenu wote.
Haiingii akilini eti mume au mke aache kuilinda au kusema gari hili ni la kwetu kwa sababu tu alimkuta nayo mume au mke wake kabla ya kuoana, sio kweli hizo ni mali zenu wote bila kujali alikukuta nayo au mmeipata mkiwa pamoja.
Kinachotokea hapa au siku hizi ni kwa sababu tuna mapenzi ya mang'amung'amu na tunaoana kwasababu tu tunapendeza tukitembea barabarani au tusipooana watu, marafiki ndugu na classmates tuliosoma nao watatushangaa sana kwahiyo tuoane tu. Ndio haya kila mtu anakuwa na cha kwake hadi baadae kila mtu anakuwa na mlango wake wa kutokea.
Naona tunaweka uzungu sana hapa na tunasahau kuwa bado watu wanaoana mmoja akiwa hana kitu lakini maisha yanakwenda kwasababu wanajua maana ya ndoa na base ya ndoa na sio ndoa za kufunga kwasababu ya marafiki na ili mfunge harusi za kutingisha jiji
Naamini kabisa gari au mali bado inaweza kuwa yetu kama tutaacha ujinga na umaskini wa kufikiria bila kujali kama mlianza kuchuma pamoja au la,
HESHIMA NA MAPENZI YA DHATI

...sasa nawewe vipi bana? yaani unataka kwenye debate wooote wakubali au wote wakatae? kila mtu anaongelea experience yake... sote ni watanzania tunaojua maisha ya Tanzania.

Hivi hujawahi kusikia mume akifa wanandugu wanamwambia mjane awache kila kitu cha kaka yao atoke kama alivyoingia? Katika zama hizi za uwazi na ukweli ni bora kujiorodheshea nini changu na nini chake, siku ya siku likitufika la kutufika wana ndugu wasije tukalia kidedea!

Binafsi nimehakikisha mywife wangu ana hati yake ya gari, kiwanja na nyumba yake, nami na vya kwangu.
 
Mimi naboreka na huu mjadala frankly speaking sitaki kuwa mnafiki, nasema hivi kwasababu tunajadili hii mada kama vile tunaishi USA, UK, au Japan. Manake michango minigi hapa imelalia tu kwa wale mume na mke wote wenye kazi nzuri ambazo mama anaweza kumnunulia gari baba na baba akamnunulia gari mama. Mnasahau kwamba Tanzania bado kuna watu wengi sana hawana kazi nzuri za kuwapa kipato cha kulingana au kutofautiana kidogo sana.
Tujadili hii mada tukijua kuwa bado kuna wanaume wanaoa wanawake ambao ni VII, form four or form six leaver ambao hawana kazi na hawana ujuzi wowote kwa hiyo wanakaa nyumbani kama akina mama wa nyumabani wakisubiri mipango mingine ya maisha.
Sasa kwa huyu ambaye ameolewa na mwanamume mwenye kila kitu kuna kosa gani akasema kuwa hili gari ni la kwetu. Hivi tunataka kusema kuwa mke ametembelewa na rafiki zake halafu hapo nje kuna Landcruiser akaulizwa hii gari ni ya nani aseme ni ya mume wangu. Mimi nafikiri anaweza kusema tu hivyo katika mazingira ya kawaida lakini kimsingi anatakiwa aseme hii ni gari yetu na wala sio ya mume wangu.
Hapa inabidi turuudi kwenye traditional approach or meaning ya nini maana ya ndoa, na kama hiyo haitoshi turuudi kwenye religion poit of view nini maana ya ndoa na nini maana ya mume na mke. Jibu linakuwa wazi kabisa kuwa mnapokuwa kwenye ndoa kila mnachokifanya au ambacho kilishafanywa na mmoja wenu kabla ya ndoa kinakuwa chenu wote.
Haiingii akilini eti mume au mke aache kuilinda au kusema gari hili ni la kwetu kwa sababu tu alimkuta nayo mume au mke wake kabla ya kuoana, sio kweli hizo ni mali zenu wote bila kujali alikukuta nayo au mmeipata mkiwa pamoja.
Kinachotokea hapa au siku hizi ni kwa sababu tuna mapenzi ya mang'amung'amu na tunaoana kwasababu tu tunapendeza tukitembea barabarani au tusipooana watu, marafiki ndugu na classmates tuliosoma nao watatushangaa sana kwahiyo tuoane tu. Ndio haya kila mtu anakuwa na cha kwake hadi baadae kila mtu anakuwa na mlango wake wa kutokea.
Naona tunaweka uzungu sana hapa na tunasahau kuwa bado watu wanaoana mmoja akiwa hana kitu lakini maisha yanakwenda kwasababu wanajua maana ya ndoa na base ya ndoa na sio ndoa za kufunga kwasababu ya marafiki na ili mfunge harusi za kutingisha jiji
Naamini kabisa gari au mali bado inaweza kuwa yetu kama tutaacha ujinga na umaskini wa kufikiria bila kujali kama mlianza kuchuma pamoja au la,
HESHIMA NA MAPENZI YA DHATI

Hiki unachokileta hapa ni ideal situation kwa maisha ya kawaida.Lakini utashangaa hii siyo hali halisi ya maisha yalivyo.Tena hao waliooa wanawake darasa la saba au sijui form 4 au 6 wasio na kazi ni wanyanyasaji kupindukia.Nimewahi kusikia wanaume wakizungumiza kero yao ati..mwanamke umemuoa juzi kaja kakukuta una nyumba yako nzuri umeiwekea nakshi za kila aina... ati ukiingia ndani anakuuliza kwanini unaingiza michanga na tope ndani kama vile ni yake?! Ati kwanini mwanamke anawaagizia marafiki zake kuwa pale ni nyumbani kwa mama fulani wakati kakuta kila kitu! Niliwashangaa sana maana niliona wana umaskini wa roho tu...
Ubinafsi hauna cha mtu anayeishi Marekani wala uswekeni!
 
... we acha tu!

fikiria; ...hati ya kiwanja jina lake, hati ya nyumba jina lako. Mkigombana anakwambia "...e bana eeh...chukua nyumba'ko uondoke hapa! "


duh!! kasheshe hiyo..hili jambo jamani tuache kulichukulia kama kitu kidogo...kumbe utaambiwa ng'oa nyumba yako, shamba langu! sasa hapo utaanzaje!
 
Hiki unachokileta hapa ni ideal situation kwa maisha ya kawaida.Lakini utashangaa hii siyo hali halisi ya maisha yalivyo.Tena hao waliooa wanawake darasa la saba au sijui form 4 au 6 wasio na kazi ni wanyanyasaji kupindukia.Nimewahi kusikia wanaume wakizungumiza kero yao ati..mwanamke umemuoa juzi kaja kakukuta una nyumba yako nzuri umeiwekea nakshi za kila aina... ati ukiingia ndani anakuuliza kwanini unaingiza michanga na tope ndani kama vile ni yake?! Ati kwanini mwanamke anawaagizia marafiki zake kuwa pale ni nyumbani kwa mama fulani wakati kakuta kila kitu! Niliwashangaa sana maana niliona wana umaskini wa roho tu...
Ubinafsi hauna cha mtu anayeishi Marekani wala uswekeni!

WoS, nadhani Sipo amejaribu kuelezea ideal situation kweli, lakini pia niseme kuwa hizo cases ulizoelezea hapo pia sio common practice....ni isolated cases na sidhani kama zinapaswa kuchukuliwa kuwa ndiyo hali halisi ya ndoa kati ya bwana mwenye nazi na mke asiye nazo...kama mtu ni mnyanyasaji, bado atatafuta tu namna ya kukunyanyasa hata kama wote mna uwezo sawa.
 
What about one of you baada ya kuoana kagundua kua una madeni kibao, i.e bank loan cai instalment etc. will you still say our madeni ?
It all depends.
Kama alikopa wakati anamchumbia mka-spend wote, lady anaona mwanaume si huyu,
yuko liquid enough! Hayo madeni yenu kwa sababu keshakupata atasema ukweli sasa, kuwa hizi ni zile pesa tulizokuwa tuki-spend wote. Mama amsaidie kulipa si vibaya.
 
Back
Top Bottom