My car, our car!! - Kaazi kweli!

Shishi

JF-Expert Member
Feb 11, 2008
1,242
39
Shosty wangu mmoja kaolewa majuzi tu, haswa kamimba ndio kaloowasukuma kufanya mambo na wanaishi pamoja sasa. wote wenye kazi nzuri, kila mmoja wao ana gari, and all the basic requirements of a home. sasa juzi nimepeleka umbea huko... salamu za kupitiapitia tu. tukaburudika chai ya nguvu na stori kibao etc etc. saa ya kuondoka wananisindikiza madam akasema.... your car...... dume likajibu... our car... sote tukacheka.. nikaongezea kusema... wajua bado hajazoea 'our'. sasa hii si kazi ngumu nyie...everything becomes ours eti eh!!!! how long does it take one kwa wale wenye experience ku adjust to ours.... and don't you feel like your privacy is being invaded etc etc. and will u be offended kama nikisema your car or my car???? kwa mfano tu?? sasa mie nimejikakamua nikanunua benzi ya nguvu halafu iwe yetu duhhhhh!!!

Tushaurianeni!
 
Shosty wangu mmoja kaolewa majuzi tu, haswa kamimba ndio kaloowasukuma kufanya mambo na wanaishi pamoja sasa. wote wenye kazi nzuri, kila mmoja wao ana gari, and all the basic requirements of a home. sasa juzi nimepeleka umbea huko... salamu za kupitiapitia tu. tukaburudika chai ya nguvu na stori kibao etc etc. saa ya kuondoka wananisindikiza madam akasema.... your car...... dume likajibu... our car... sote tukacheka.. nikaongezea kusema... wajua bado hajazoea 'our'. sasa hii si kazi ngumu nyie...everything becomes ours eti eh!!!! how long does it take one kwa wale wenye experience ku adjust to ours.... and don't you feel like your privacy is being invaded etc etc. and will u be offended kama nikisema your car or my car???? kwa mfano tu?? sasa mie nimejikakamua nikanunua benzi ya nguvu halafu iwe yetu duhhhhh!!!

Tushaurianeni!

Duuh..sasa kumbe ukinunua benzi inakuwa na thamani kuliko hata mume/mke?

Inabidi kuzoea, mi binafsi nitakuwa offended kama ukiaddress kwa kutumia hizo possesive pronouns....mkishakuwa mke/mume vitu vya msingi inabidi viwe 'vyetu' kama nyumba, magari, investments nyingine etc.

Otherwise hakuna sababu ya kuishi kama mke na mume huku kukiwa na hisia za kuposess vitu so that you feel kuwa ni vyako in that way...

Hapo hata magari yapo mawili, bado hakuna sababu ya kucategorise eti hili langu just because umenunua 'wewe...'

Ni mawazo yangu tu....Shishi....
 
...Tushaurianeni!

...asikudanganye mtu wala hakuna la kushauriana, kwanza hujasikia pre-nuptials weye? 'chetu' ni watoto tu, tena tukichafuana wanakuwa 'wake' au 'wangu'!... vilivyobaki either vyake au vyangu :mad:
 
Shosty wangu mmoja kaolewa majuzi tu, haswa kamimba ndio kaloowasukuma kufanya mambo na wanaishi pamoja sasa. wote wenye kazi nzuri, kila mmoja wao ana gari, and all the basic requirements of a home. sasa juzi nimepeleka umbea huko... salamu za kupitiapitia tu. tukaburudika chai ya nguvu na stori kibao etc etc. saa ya kuondoka wananisindikiza madam akasema.... your car...... dume likajibu... our car... sote tukacheka.. nikaongezea kusema... wajua bado hajazoea 'our'. sasa hii si kazi ngumu nyie...everything becomes ours eti eh!!!! how long does it take one kwa wale wenye experience ku adjust to ours.... and don't you feel like your privacy is being invaded etc etc. and will u be offended kama nikisema your car or my car???? kwa mfano tu?? sasa mie nimejikakamua nikanunua benzi ya nguvu halafu iwe yetu duhhhhh!!!

Tushaurianeni!

Alicho chuma mume, ni cha familia, yaani chenu wote. Lakini alicho chuma mke chake peke yake...!

Habari ndio hiyo.
 
Shosty wangu mmoja kaolewa majuzi tu, haswa kamimba ndio kaloowasukuma kufanya mambo na wanaishi pamoja sasa. wote wenye kazi nzuri, kila mmoja wao ana gari, and all the basic requirements of a home. sasa juzi nimepeleka umbea huko... salamu za kupitiapitia tu. tukaburudika chai ya nguvu na stori kibao etc etc. saa ya kuondoka wananisindikiza madam akasema.... your car...... dume likajibu... our car... sote tukacheka.. nikaongezea kusema... wajua bado hajazoea 'our'. sasa hii si kazi ngumu nyie...everything becomes ours eti eh!!!! how long does it take one kwa wale wenye experience ku adjust to ours.... and don't you feel like your privacy is being invaded etc etc. and will u be offended kama nikisema your car or my car???? kwa mfano tu?? sasa mie nimejikakamua nikanunua benzi ya nguvu halafu iwe yetu duhhhhh!!!

Tushaurianeni!
What about one of you baada ya kuoana kagundua kua una madeni kibao, i.e bank loan cai instalment etc. will you still say our madeni ?
 
Hapa inategemea kwa kweli, kama nimeolewa na kukuta mume tayari ana vitu vyake, kama nyumba, gari n.k, hivi vitu vitakuwa ni vya kwake na sio vya kwetu. Japokuwa baada ya ndoa mnakuwa mwili mmoja lakini kwangu itakuwa ngumu kusema our car or our house. Vile vile yeye akinikuta na mie nina vya kwangu nadhani itakuwa my car/house. Lakini baada ya kukaa pamoja na kuchuma vitu kwa pamoja risiti ina jina lake na langu, hapo itakuwa our car/ house.
 
Last edited:
Shosty wangu mmoja kaolewa majuzi tu, haswa kamimba ndio kaloowasukuma kufanya mambo na wanaishi pamoja sasa. wote wenye kazi nzuri, kila mmoja wao ana gari, and all the basic requirements of a home. sasa juzi nimepeleka umbea huko... salamu za kupitiapitia tu. tukaburudika chai ya nguvu na stori kibao etc etc. saa ya kuondoka wananisindikiza madam akasema.... your car...... dume likajibu... our car... sote tukacheka.. nikaongezea kusema... wajua bado hajazoea 'our'. sasa hii si kazi ngumu nyie...everything becomes ours eti eh!!!! how long does it take one kwa wale wenye experience ku adjust to ours.... and don't you feel like your privacy is being invaded etc etc. and will u be offended kama nikisema your car or my car???? kwa mfano tu?? sasa mie nimejikakamua nikanunua benzi ya nguvu halafu iwe yetu duhhhhh!!!

Tushaurianeni!

Hahaha privacy inakua invaded the first time you see each other naked. Mmesha consumate uhusiano halafu uone kuna privacy kuwa invaded? Anyway the adjustment period ina tegemeana na mtu mwenyewe. Kama mtu kashazoea changu kukubali kimekua chetu ina chukua muda. Na hakuna ubaya mtu kusema hiki ni changu kama ume kinunua as long as haumnyanyasi mwenzio au kumnyima kutumia kitu hicho just because wewe ndiyo ume nunua. I personally believe that ndoa ni two bodies becoming one soul and not two souls becoming one body. Hata iweje all of us will always remain to a certain degree as individuals.
 
Last edited:
Shosty wangu mmoja kaolewa majuzi tu, haswa kamimba ndio kaloowasukuma kufanya mambo na wanaishi pamoja sasa. wote wenye kazi nzuri, kila mmoja wao ana gari, and all the basic requirements of a home. sasa juzi nimepeleka umbea huko... salamu za kupitiapitia tu. tukaburudika chai ya nguvu na stori kibao etc etc. saa ya kuondoka wananisindikiza madam akasema.... your car...... dume likajibu... our car... sote tukacheka.. nikaongezea kusema... wajua bado hajazoea 'our'. sasa hii si kazi ngumu nyie...everything becomes ours eti eh!!!! how long does it take one kwa wale wenye experience ku adjust to ours.... and don't you feel like your privacy is being invaded etc etc. and will u be offended kama nikisema your car or my car???? kwa mfano tu?? sasa mie nimejikakamua nikanunua benzi ya nguvu halafu iwe yetu duhhhhh!!!

Tushaurianeni!

...... Hahaha umenikumbusha mie enzi zile nikiwa mbichi ndoani nilikuwa nagombana na Mr. maana kuna siku nilivunja kiglass kimoja alikuwa anakipenda sana -nikamwambia leo nimevunja ile glass yako kwa bahati mbayaq-kumbe nilisahau kuwa hata kununua alinunuaga yeye kabla hatujaoana (sijui aliachiwa ukumbusho!!-maana mapenzi aliyokuwa nayo hayakuwa ya kawaida ati)- nikaanuniwa eti nimetumia neno 'yako'.

Nafikiri ndio maana wanasema mkishaoana mnakuwa mwili mmoja ama!!

Kwa kweli ndoa si lelemama na mtu unatakiwa kutafakari kwanza kabla ya kufanya maamuzi
 
Shosty wangu mmoja kaolewa majuzi tu, haswa kamimba ndio kaloowasukuma kufanya mambo na wanaishi pamoja sasa. wote wenye kazi nzuri, kila mmoja wao ana gari, and all the basic requirements of a home. sasa juzi nimepeleka umbea huko... salamu za kupitiapitia tu. tukaburudika chai ya nguvu na stori kibao etc etc. saa ya kuondoka wananisindikiza madam akasema.... your car...... dume likajibu... our car... sote tukacheka.. nikaongezea kusema... wajua bado hajazoea 'our'. sasa hii si kazi ngumu nyie...everything becomes ours eti eh!!!! how long does it take one kwa wale wenye experience ku adjust to ours.... and don't you feel like your privacy is being invaded etc etc. and will u be offended kama nikisema your car or my car???? kwa mfano tu?? sasa mie nimejikakamua nikanunua benzi ya nguvu halafu iwe yetu duhhhhh!!!

Tushaurianeni!

...... Hahaha umenikumbusha mie enzi zile nikiwa mbichi ndoani nilikuwa nagombana na Mr. maana kuna siku nilivunja kiglass kimoja alikuwa anakipenda sana -nikamwambia leo nimevunja ile glass yako kwa bahati mbayaq-kumbe nilisahau kuwa hata kununua alinunuaga yeye kabla hatujaoana (sijui aliachiwa ukumbusho!!-maana mapenzi aliyokuwa nayo hayakuwa ya kawaida ati)- nikaanuniwa eti nimetumia neno 'yako'.

Nafikiri ndio maana wanasema mkishaoana mnakuwa mwili mmoja ama!!

Kwa kweli ndoa si lelemama na mtu unatakiwa kutafakari kwanza kabla ya kufanya maamuzi
 
Kwi kwi kwi kwi ulitaka amwite beberu?
hahahhaha Wallah hamwishi vituko.......

shishi mummy muda wa kuadjust na hiyo changu chetu hauko fixed unategemeana na nyinyi wenyewe honesty na bond kati yenu,
kuhusu mali zake na zangu kabla ya ndoa,baada ya ndoa tutaita tu chetu lakini umiliki unabakia palepale kwamba aidha chake au changu, lakini pia sio tu kabla ya ndoa unaweza nunua hata baaada ya ndoa mwenzangu naweka jina langu kisha nakwambia darling nyumba yetu tuirenovate vipi? gari letu lishafikia kilometer 3000 linatakiwa lende service, lakini ukiangalia kadi ya gari jina AGIKA. Okay? but still ours hahahhahah
 
Ule usemi wa Changu changu na chake changu ndiyo unaowafanya dada zetu waseme My badala ya Our!
 
...... Hahaha umenikumbusha mie enzi zile nikiwa mbichi ndoani nilikuwa nagombana na Mr. maana kuna siku nilivunja kiglass kimoja alikuwa anakipenda sana -nikamwambia leo nimevunja ile glass yako kwa bahati mbayaq-kumbe nilisahau kuwa hata kununua alinunuaga yeye kabla hatujaoana (sijui aliachiwa ukumbusho!!-maana mapenzi aliyokuwa nayo hayakuwa ya kawaida ati)- nikaanuniwa eti nimetumia neno 'yako'.

Nafikiri ndio maana wanasema mkishaoana mnakuwa mwili mmoja ama!!

Kwa kweli ndoa si lelemama na mtu unatakiwa kutafakari kwanza kabla ya kufanya maamuzi


ahahahahha... labda kaachiwa na memsap wa zamani...sentimental attachments u know!!!
 
ahahahahha... labda kaachiwa na memsap wa zamani...sentimental attachments u know!!!
.. Nakwambia yaani alikasirika ila alisingizia hasira ni za kusema glasi yako eh!! na ndio kwanza nina mwezi ndani ya ndoa ah. Itakuwa ni maumivu yale tu (kupoteza sentimental attachment) si lakuambiwa yako

Ngoja nicheke mie!!
 
Duuh..sasa kumbe ukinunua benzi inakuwa na thamani kuliko hata mume/mke?

Inabidi kuzoea, mi binafsi nitakuwa offended kama ukiaddress kwa kutumia hizo possesive pronouns....mkishakuwa mke/mume vitu vya msingi inabidi viwe 'vyetu' kama nyumba, magari, investments nyingine etc.

Otherwise hakuna sababu ya kuishi kama mke na mume huku kukiwa na hisia za kuposess vitu so that you feel kuwa ni vyako in that way...

Hapo hata magari yapo mawili, bado hakuna sababu ya kucategorise eti hili langu just because umenunua 'wewe...'

Ni mawazo yangu tu....Shishi....


we nawe hiyo benzi ni mfano tu.... naona tu it will always take time ku adjust.... we hata vikombe vinakuwa vyetu??? huoni makubwa hayo...
 
.. Nakwambia yaani alikasirika ila alisingizia hasira ni za kusema glasi yako eh!! na ndio kwanza nina mwezi ndani ya ndoa ah. Itakuwa ni maumivu yale tu (kupoteza sentimental attachment) si lakuambiwa yako

Ngoja nicheke mie!!



mmmm alikuwa anaumwa sana ndani kasingizia chako chetu!!!!!! sometimes haya mambo naona kama pia ni pretence... tuweni wazi jamani..... mbona mkianza kukosana utasikia mambo ya gari langu lako yamerudi....usitake talaka... ndipo hapo utajua vyako ni vyako kweli!
 
Back
Top Bottom