Asante sana kwa sasa nimemaliza miaka thelathini na mamangu alifariki miaka mitano ilopita(2006 januari 08) kwa kansa ya titi. Ila namshukuru aliye juu kwa kuzidi kunilinda na kuniongoza!Happy birthday Genekai na pole kwa kumpoteza mama yako!! How old were you when she died?? I can imagine!!! Hongera pia umeweza kusoma hadi Chuo cha Elimu ya Juu mbali na machungu ya kumpoteza mama.
Asante sana kwa sasa nimemaliza miaka thelathini na mamangu alifariki miaka mitano ilopita(2006 januari 08) kwa kansa ya titi. Ila namshukuru aliye juu kwa kuzidi kunilinda na kuniongoza!
Jamani eeh, mwenzenu kesho itakuwa ni ukumbusho wa siku yangu ya kuzaliwa miaka kadhaa iliyopita. Mamangu(RIP) alinizaa tarehe 03/03/... siku ya jumamosi saa kumi alfajiri. Nawaombeni mzidi kuniombea kwa mungu nizidi kumtumikia vema yeye na wanadamu wenzangu kwa upendo.Sherehe imesogezwa hadi jumamosi kwani kwa kipindi hiki niko kwenye mtihani kama mjuavyo vyuo vikuu vingi muda huu kwa mwanafunzi hakukaliki. Nawaombeeni wote ujasiri na moyo wa kazi na kuzidi kukemea maovu na kusifia mazuri.
Ndimi mtumishi wa bwana
Genekai