Na wewe ya kwako lini?happy bday kiongozi
Hongera sana kiongozi wetu Mayenga!
Nashukuru kwambaulizaliwa siku kamaya leo, maana ni mwanzo mpya wa mapambano!
Hongera sana, na usherekee kwa amani na furaha..
Mjumuiko ni wapi eti?
Na wewe ya kwako lini?
Unakatika mwaka sasa hatujasikia lolote, zawadi zetu zinaekspaya bana!
Kama vipi nenda King'ori ukaulizie ulizaliwa lini,... huh!
Here is my birthday,nawashukuru nyote!