RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,519
WanaJF, leo ni siku yangu ya kuzaliwa! Naadhimisha siku hii muhimu kwenye maisha yangu kwa kutafakari mambo mengi. Lakini jambo moja kubwa ni kumcha Mungu kwa kila hatua ya maisha yetu ili tuzidi kutenda mema siku zote, kutokuwa na tamaa, kufanya kazi kwa bidii pamoja na kutokuogopa changamoto za maisha.
Ahsanteni sana, na karibuni tujumuike pamoja kuadhimisha siku yangu.
Ahsanteni sana, na karibuni tujumuike pamoja kuadhimisha siku yangu.