My best gospel song ever

Fungua Malango ya mbingu inyesheeee.... Kachanganya kingereza na kiswahili.. Wameimba kama kwaya ivii... Sijui waimbaji ila naupenda sana huu wimbo... Anawajua tafadhali aniambie
 
Fungua Malango ya mbingu inyesheeee.... Kachanganya kingereza na kiswahili.. Wameimba kama kwaya ivii... Sijui waimbaji ila naupenda sana huu wimbo... Anawajua tafadhali aniambie
wameimba wengi kuna krystaal afu pia nadhani sowers kama sijakosea
 
wameimba wengi kuna krystaal afu pia nadhani sowers kama sijakosea
Mkuu Asante sana aise kwa nyimbo ulizonitumia ila hawa jamaa mbona wanaimba vizuri sana kiswahili utadhani wamekaa bongo ila sisi wenye lugha hii tunashindwa kuitumia vizuri aise Mungu akubariki sana
 
Mkuu Asante sana aise kwa nyimbo ulizonitumia ila hawa jamaa mbona wanaimba vizuri sana kiswahili utadhani wamekaa bongo ila sisi wenye lugha hii tunashindwa kuitumia vizuri aise Mungu akubariki sana
Hahahahaa hao ni watu wa drc so kiswahili wanakijua vizuri tu afu huwa wanakuja sana bongo afu hata kule canada walipo waswahili wengi tu mmoja wapo anaitwa Aliston Lwamba ameoa mtanzania
 
Yap yupo yeye jabu hlongwane na lindelani mkhize pia alikuwepo marehemu vuyo mokoena
Vuyo aliniuma sana mkuu
Nakumbuka alikuwa rafiki ake sana wa Jabu. Hahah nakumbuka kuna jamaa aliniambia wao walidhani vuyo ana toka na rebeka malope tena alinitel juz juz tuu

Joyous 11,jesu ke mmolki nikiuchek huu wimbo namkumbuka sana Vuyo RIP
 
Vuyo aliniuma sana mkuu
Nakumbuka alikuwa rafiki ake sana wa Jabu. Hahah nakumbuka kuna jamaa aliniambia wao walidhani vuyo ana toka na rebeka malope tena alinitel juz juz tuu

Joyous 11,jesu ke mmolki nikiuchek huu wimbo namkumbuka sana Vuyo RIP

Yap one of the legends in SA gospel industry
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom