Nimefatilia post 1,735 za CPU umechangia kwa 80% yaani posts zako kwake ni 1300
dah! mpwa ungekuwepo jana ndio ilikuwa balaa. CPU anatafsiri nyimbo za kandabongo man kwa kiswahili halaf anamdediketia lizzy. dah!
Baba mchungaji tangu lini umeanza kumchunguza mama mchungaji??
Angeonyeshaga hata kainterest maana mpaka nikatangaza nia ujue nimechoka kua mwenyewe!Hahahaha kafanya zaidi ya maelezo ya mwalimu!sasa nia umetangaza jana halaf ulitaka akuimpress last krismass? lizzy bana. halaf hiyo kuweka marangirangi ndio nimemfahamisha leo through PM. lakini kijana ana spidi ya umeme yaani leo hii hii kafanya makeke. khaa!
Umeona huu usaliti wa mchana jua linawaka! weee muache tu
kuna forum wameninunua nikuwe nawashauri memba wao, nalipwa kwa kila post ninayotuma. hawa JF hawajui umuhimu wangu ndio maana napotea. nimeskiliza matangazo ya vifo lakini naona jina la hashycool sikuliskia, yupo hai?Khee Kheee ankal yule dj alitaka kuniibia zile raba zangu ya air jordan aisee ulikuwa wapi wewe ulipelekwa jando nini?
dah! mpwa ungekuwepo jana ndio ilikuwa balaa. CPU anatafsiri nyimbo za kandabongo man kwa kiswahili halaf anamdediketia lizzy. dah!
Baba mchungaji amekua busy sana Loliondo!
nina hakika hii post umeandika halaf kidole kimoja kiko hewani! una uhusiano na hadija mwana wa kopa?acha umbeya Kloro....umeulizwa? karibu uwanja wa fisi na leo niko hapa natafuta riziki.....:rain:
Aha ahaa lizzy wewe sio shuga mami
nina hakika hii post umeandika halaf kidole kimoja kiko hewani! una uhusiano na hadija mwana wa kopa?
najarib kujenga uadui kabla mapenzi. hii ni basic seory kuu sana ya kuwapata vigoli wa 23 yrsHivi Kloro unafaidika nini kunichongea hivyo?
Thank you CPU.....leo before its too late naomba nimtaje ninayempenda.....to hell with his reaction.....niseme au nisiseme?????
hata mimi natibu pumu tena kwa tiba ambayo utaomba usipone maisha ili upate kutibiwa kila siku.my dear nataka niende huko.....nina pumu tangu kuzaliwa....nimeambiwa nayo anatibu.....sijui hiyo dawa itakuwepo nikipata nauli????
Yani ntajiju... Nafikiria kukimbia kesi dearest!unalo dearest? hukumalizana nae? mi simo...l.o.l
wa kimapenzi?nina uhusiano na kapteni komba
Anatibu kila kitu dearest!Siku nikienda kumsalimia nikupe lifti?my dear nataka niende huko.....nina pumu tangu kuzaliwa....nimeambiwa nayo anatibu.....sijui hiyo dawa itakuwepo nikipata nauli????
Dearest SEMAAAAAA!