Ndekirhepva
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 371
- 44
wakuu mimi ni mmojawapo kati ya walioitwa kwenye interview ya Accounts assistant na TANAPA, sasa this is my 1st interview, wataalam na wazoefu wa hizi vitu naombeni ma skills ili nikachukue ofisi,
nikimaanisha,
1) huwa wanauliza maswali ya aina gani? kama ni kuhusu proffesion au ni maswali ya uelewa??
2) unatakiwa uingie ingie vipi pale kwenye panel??
3) unasalimia vipi manake watakua panelists wengi kidogo na ni wake kwa waume,
4) na vipi wakikupiga swali afu una uhakika kabisa huna jibu, utawajibu vipi?? istoshe kukaa home nimechoka mbaya..
nipigeni tafu nikachukue kitengo please
nikimaanisha,
1) huwa wanauliza maswali ya aina gani? kama ni kuhusu proffesion au ni maswali ya uelewa??
2) unatakiwa uingie ingie vipi pale kwenye panel??
3) unasalimia vipi manake watakua panelists wengi kidogo na ni wake kwa waume,
4) na vipi wakikupiga swali afu una uhakika kabisa huna jibu, utawajibu vipi?? istoshe kukaa home nimechoka mbaya..
nipigeni tafu nikachukue kitengo please