Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
Mwongozo huu unalenga kuwaandaa vijana kuwa mstari wa mbele katika kufanikisha shughuli zote za uchaguzi mkuu ujao
Nia na madhumuni yakuwalenga vijana ni haya yafuatayo;
Ø Vijana ndio wapiga kura waliowengi kuliko rika lolote lile
Ø Vijana ndio taifa la leo na la kesho kwa hiyo maamuzi ya leo ni muhimu kwao kwa maisha yao ya sasa, baadaye nay ale ya vizazi vijavyo.
Ø Wana akili mpya zenye kufanya maamuzi sahihi endapo wataongozwa vyema
Ø Wana dira nzuri kwa ajili ya mema ya taifa lao
Ø Vijana ni wakala wakuu wa mabadiliko katika kila jamii
Ø Wanaweza kuepuka kutumiwa na watu wenye nia mbaya ya kuchochea vurugu.
Ø Ubunifu, nguvu na uwezo vimo ndani ya vijana na nijukumu lao kuvitumia ili waweze kuishi vyema kwa kuchagua na kuchaguliwa
Ø Vijana wanapaswa kuwa mstari wa mbele kupiga kura kama Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inavyosema katika ibara ya 5(1) Kila raia wa Tanzania aliyetimiza umri wa miaka kumi na minane anayo haki ya kupiga kura katika uchaguzi unaofanywa Tanzania na wananchi.
Ø Vijana wanakumbushwa kuwa uhuru wa kuchagua utanguliwa na utashi amabapo utashi huo utanguliwa na ukweli juu ya jambo hilo.
( ..wale wenye wajibu wa kufanya kazi na vijana wa umri mdogo wana nguvu kubwa zisizozidiwa na nguvu za yeyote yule kwa kutilia maanani hali ya baaadaye katika jamii yetu... (Mwl. JK Nyerere, The Power of Teachers, 27 Agosti 1966)
Nia na madhumuni yakuwalenga vijana ni haya yafuatayo;
Ø Vijana ndio wapiga kura waliowengi kuliko rika lolote lile
Ø Vijana ndio taifa la leo na la kesho kwa hiyo maamuzi ya leo ni muhimu kwao kwa maisha yao ya sasa, baadaye nay ale ya vizazi vijavyo.
Ø Wana akili mpya zenye kufanya maamuzi sahihi endapo wataongozwa vyema
Ø Wana dira nzuri kwa ajili ya mema ya taifa lao
Ø Vijana ni wakala wakuu wa mabadiliko katika kila jamii
Ø Wanaweza kuepuka kutumiwa na watu wenye nia mbaya ya kuchochea vurugu.
Ø Ubunifu, nguvu na uwezo vimo ndani ya vijana na nijukumu lao kuvitumia ili waweze kuishi vyema kwa kuchagua na kuchaguliwa
Ø Vijana wanapaswa kuwa mstari wa mbele kupiga kura kama Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inavyosema katika ibara ya 5(1) Kila raia wa Tanzania aliyetimiza umri wa miaka kumi na minane anayo haki ya kupiga kura katika uchaguzi unaofanywa Tanzania na wananchi.
Ø Vijana wanakumbushwa kuwa uhuru wa kuchagua utanguliwa na utashi amabapo utashi huo utanguliwa na ukweli juu ya jambo hilo.
( ..wale wenye wajibu wa kufanya kazi na vijana wa umri mdogo wana nguvu kubwa zisizozidiwa na nguvu za yeyote yule kwa kutilia maanani hali ya baaadaye katika jamii yetu... (Mwl. JK Nyerere, The Power of Teachers, 27 Agosti 1966)