JamboJema
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 1,143
- 209
Entrepreneur na WildCard mmenena na kunifurahisha. RA anatakiwa apewe hoja zenu ili ajue anatakiwa kufanya nini na sio kutuchezea shele. Inaonyesha ni mbunge na hajui hata misingi inayosimamia ubunge wenyewe. Iweje mbunge usijue unatakiwa upatikane vipi, na uache vipi? RA hovyo kabisa - ati Nimemwandikia Mwenyekiti, Aibu!