King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,604
Jela ngumu kama haukati pochi,ukikata pochi unaletewa kila kitu ndani na unalala sehemu safi tu hadi cream unaletewa.
ameeeen!now u r talking! Alianza na wakina anne constantine wa mambo hayo miaka ileeeeeeee! Sasa hivi taratibuuuuuu anamalizia uzee wake huku kwa haka katoto, mi baadae nitakuja kumuua mtu mungu anipishie mbali na mabinti zangu! Nisaidieni kusali kwa kuitikia amen!!! Lolest!
mmmmh!Chezeiya matunzo ya mheshimiwa peramiho na kati ya songea???
Kama tungejua anachokula nyuki nina hakika tusingelamba asali,
mtuachie wifi yetu!ahahahahah ila sipati picha jamani!ile habari inakuwaje pale!ah nawaza kwa sauti tu!
mkuu Mboko unanichekesha kweli.Uonevu tu Mungu yupo huyu mtoto atatoka tu,kanumba mshenzi sana kambaka mtoto wa watu kwa kumdanganya na vijisenti go to hell Kanumba jamani hebu fikirieni Elizabeth angekuwa dada yenu/mdogo wenu halafu afanyiwe vile kwa kutumia umaskini mngefanyanye......?
rafiki, sisi kule Peramiho mbunge wetu ni mmama, anaitwa Jenista MhagamaChezeiya matunzo ya mheshimiwa peramiho na kati ya songea???
Katika maisha usipoikubali hali halisi itakuwa kama alipoingia nondoni kwa mara ya kwanza , lakini sasa ameikubali hali halisi anazidi kunawiri. Huyo hatoki mpaka baada ya miaka kumi, chezea kesi ya mauaji wewe.