Okwi wetu anapelekwa kwa rafiki yake Mafisango taratibu hivihivi jamani.... Hivi wanajamvi hatuwezi kusaidia chochote kweli..Anachukua sasa mpira Okwi, Okwi anatazama kushoto, anapiga pale Okwi...... lah.... lah. No goal kick pale.
mbona kama pepsi na mirinda? uso na mikono vinalingana rangi, mapaja mmmh!
hawa wanaojifanya wadada wa mjini kazi kweli kweli, wawe wanavaa kutokana na maumbo yao jamani, sasa ndio nini hiyo aliyovaa na hayo manyama ya mapaja, pweehh, halafu haka bado kashamba tu na hayo mabangili yake mkononi sijui anayo ya rangi zote.
kile katikati na mapaja nini au kitumbua,pengine macho yangu mabovu jaribun kuangalia vizuri
Okwi wetu anapelekwa kwa rafiki yake Mafisango taratibu hivihivi jamani.... Hivi wanajamvi hatuwezi kusaidia chochote kweli..