Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kwani nani asiejua kuwa ikulu kuna mapepo? Pepo mkuu ni JK na huyo Lukuvi ni pepo!
Yani ikulu takatifu leo iwe na mapepo kweli? Imedumu miaka 50 pale ilipo, lakini leo mtu anatuambia kuwa rais wetu anatumiwa majini ikulu kweli inaingia akilini??
Ama kweli afae hutaja kila jina na mizimu na kuvirudia!
Hivi ccm si wana mbunge Kigagula ndugu Majimarefu, ameshindwa kuyatoa wakati Lusinde alisema huwachanja chale makalioni waheshimiwa?
Haya Dr Mnyaunyau kayatoe majini pale magogni
Yani ikulu takatifu leo iwe na mapepo kweli? Imedumu miaka 50 pale ilipo, lakini leo mtu anatuambia kuwa rais wetu anatumiwa majini ikulu kweli inaingia akilini??
Ama kweli afae hutaja kila jina na mizimu na kuvirudia!
Hivi ccm si wana mbunge Kigagula ndugu Majimarefu, ameshindwa kuyatoa wakati Lusinde alisema huwachanja chale makalioni waheshimiwa?
Haya Dr Mnyaunyau kayatoe majini pale magogni