Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,551
- 19,420
We sema tu ni mweupe nitakuelewa, si kudanganya.
Kuna aina ya watu ambao wana tabia ya kutokukubalia udhaifu wao hata wakiambiwaje; hilo ninalielewa sana katika psychology, ila nitajitahidi sana kukusaida ujue yale usiyojua hata kama ni against ego yako.