Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
WanaJF,
Kwa namna nchi inavyokwenda chini ya uongozi wa Jk, nimekuwa nikipata wasiwasi juu ya uwezo wa rais jk kiuongozi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hivi nchi yetu ingeelekea wapi endapo Jk angeachwa awe rais wa nchi yetu???? Kama leo hii, uwezo wake wa kuongoza upo hivyo, je, uwezo wake ulikuwaje kabla hata ya kuwa waziri kamili tena wa mambo ya nchi za nje kwa miaka 10 mfululizo??? Je, jitihada za Mwl. Nyerere za kuingilia kati 'move' ya kumteua Jk na hatimaye kuwezesha Mkapa ateuliwe kuwa mgombea wa urais zilikuwa na maana yoyote kwa mustakabali wa taifa hili? Ni udhaifu gani aliokuwa anaukwepa Mwl. kwa Jk ambao Mkapa hakuwa nao? WanaJF tafadhali karibuni kwa mjadala.
Kwa namna nchi inavyokwenda chini ya uongozi wa Jk, nimekuwa nikipata wasiwasi juu ya uwezo wa rais jk kiuongozi. Nimekuwa nikijiuliza kwamba hivi nchi yetu ingeelekea wapi endapo Jk angeachwa awe rais wa nchi yetu???? Kama leo hii, uwezo wake wa kuongoza upo hivyo, je, uwezo wake ulikuwaje kabla hata ya kuwa waziri kamili tena wa mambo ya nchi za nje kwa miaka 10 mfululizo??? Je, jitihada za Mwl. Nyerere za kuingilia kati 'move' ya kumteua Jk na hatimaye kuwezesha Mkapa ateuliwe kuwa mgombea wa urais zilikuwa na maana yoyote kwa mustakabali wa taifa hili? Ni udhaifu gani aliokuwa anaukwepa Mwl. kwa Jk ambao Mkapa hakuwa nao? WanaJF tafadhali karibuni kwa mjadala.