Mwl. Nyerere alisema kama mnampenda Kikwete kanyweni naye chai - Sasa tunayaona!!

Kukomaa ni mchakato kutoka kipindi cha utoto/udogo/ubichi kuelekea kukua/kuiva, sasa kama kipindi hiki kikipita bila ukomavu kutengemaa basi usitegemee tena kupata kitu kilicho bora. Hapo ndio tunasema kimedumaa au kimevia, laikini kwa JK ni sawa na mpunga - yeye hawezi tena kukomaa na kutoa mchele anabaki "mapepe".


Moringe wote ni wamasai lakini sio kila mmasai ni Moringe
 
Huyu JK hawezi kukomaa kisiasa mpaka kufa kwake. Kwanza mpaka leo hajui sababu za Tanzania kuwa masikini, pili ahadi nyingi kuliko uwezo, tatu hana mipango mahususi ya maendeleo kwani utasemaje 315, 000 hailipiki ndani ya kipindi cha miaka nane ijayo.
 
Huyu amepandikizwa na kikundi fulani cha watu kwa maslahi yao binafsi....nao pia ni wajanja hawawezi kumpandikiza mtu mwerevu na mwenye uwezo wa kuongoza.
 
.............hafai kabisa tena anakera sana huyu....badala ya kuwashughulikia Mafisadi yeye anawadhalilisha Wafanyakazi wa Tanzania
 
Ingekuwa ni Amri yangu tusimpe tena kipindi kingine maana uchumi utaporomoka ile mbaya. Sema tatizo sisi ni Wa Kanga na Sukari kisha Kwishny!
 
Kukomaa ni mchakato kutoka kipindi cha utoto/udogo/ubichi kuelekea kukua/kuiva, sasa kama kipindi hiki kikipita bila ukomavu kutengemaa basi usitegemee tena kupata kitu kilicho bora. Hapo ndio tunasema kimedumaa au kimevia, laikini kwa JK ni sawa na mpunga - yeye hawezi tena kukomaa na kutoa mchele anabaki "mapepe".


Moringe wote ni wamasai lakini sio kila mmasai ni Moringe

Mkuu hapo no comment
 
Huyu JK hawezi kukomaa kisiasa mpaka kufa kwake. Kwanza mpaka leo hajui sababu za Tanzania kuwa masikini, pili ahadi nyingi kuliko uwezo, tatu hana mipango mahususi ya maendeleo kwani utasemaje 315, 000 hailipiki ndani ya kipindi cha miaka nane ijayo.

Kwa kauli hiyo ndo nilijua Tanzania tuna BORA RAIS na SIo RAIS BORA
 
academic CV inaweza kuwa ndefu lakini sio kigezo cha mafanikio katika uongozi. People's management is the most challenging area in the leadership
 
Nyerere mwenyewe alikua failure katika mambo ya Uchumi, siasa, education, transparency nk. kwahiyo hawezi kuwa kigezo cha kutosha na zaidi alietuchagulia alie muona yeye kakomaa (Mkapa) kumbe alikua mwizi, jambazi nk.

Nyerere unabii wake ulifeli, hanauwezo wa kutuambia kiongozi gani aendeshe nchi hiii ambayo yeye iliimshinda na akatuachia kiongozi Mwizi na bakhili
 
Hatukumuelewa Mwalimu hapa alitumia lugha ya kidiplomasia hakutaka kumtukana kwa Mwalimu ya kua JK hajakomaa alikua anamaanisha HAFAI MUNGU IBARIKI TANZANIA
Kwa kweli mwalimu alikuwa anaona mbali sana. Licha ya watu wengi kumkubali na kumuamini, sasa ameanza kuonekana hana maana na hafai kuongoza nchi.
 
Mwl alikuwa anafocus mbali sana, aliposema alikuwa anajua akili za JK ni fupi kama mkia wa sungura. Yaani cognitive yake ndogo sana. Yanajithibitisha kwa matendo na kauli zake. tuchague maneno jamani, tukumbuke huyu ni mkuu wa nchi
 
Mwl alikuwa anafocus mbali sana, aliposema alikuwa anajua akili za JK ni fupi kama mkia wa sungura. Yaani cognitive yake ndogo sana. Yanajithibitisha kwa matendo na kauli zake. tuchague maneno jamani, tukumbuke huyu ni mkuu wa nchi
 
Mwl alikuwa anafocus mbali sana, aliposema alikuwa anajua akili za JK ni fupi kama mkia wa sungura. Yaani cognitive yake ndogo sana. Yanajithibitisha kwa matendo na kauli zake. tuchague maneno jamani, tukumbuke huyu ni mkuu wa nchi

Sasa na wewe hayo maneno ya rangi 2 tofauti hebu yatafakari. Unasema tuchague maneno lakini wewe mwenyewe huwezi kuchagua maneno. Au huo ujumbe wako haukuhusu wewe?
 
Back
Top Bottom