Mimi kiukweli nampenda sana mwl.nyerere,ingawa jamaa mmoja aliniambia kuwa mimi ni mtumwa wa legacy ya mwalimu,nakubali sana iwapo utumwa huo utanipa muda zaidi wa kupata interesting stories za Mwl.
Kama mnakumbuka vema,mwaka 1989,mh.Malecela alikuwa balozi nchini uingereza kabla ya kuitwa mwaka 1990 kuja kukamata nafasi ya waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais Mwinyi.Wakati huo watoto wake wakubwa wa kike,yaani Dr.Mwele, Dr.Seche na Judge Mwendwa walikuwa wanasoma nje ya nchi.Dr mwele akiwa UK,Seche akiwa USA na Mwendwa akiwa chuo cha Birmingham nchini uingereza.
Mzee Malecela alisema kuwa Mwl alifika kwake ubalozini wakati watoto wake wote wakiwa likizo.Wakaitwa mbele za Mwl nakuanza kutambulishwa mmoja baada ya mwingine kwa majina na shughuli au masomo anayofanya.Dakika chache baada ya utambilisho Mwl.alitoa kitambaa na kuanza kufuta machozi kwa muda wa dakika kadhaa.Nikamuuliza mzee Malecela kama mwl. alisema ni nini kilimliza au kama anaweza ku-guess,akasema hajui.Na akakataa kata kata ku-guess.
Jambo hilo lilinishangaza sana,lakini binafsi nilihisi Mwl.alilia kwa sababu ya tofauti alioiona kati ya watoto wake na wa malecela,kielimu na hata kimaisha. Wenzangu mnasemaje?
Hata hivyo nitaendelea kuwaletea yale msiofahamu kuhusu mwl.Nyerere.
Kama mnakumbuka vema,mwaka 1989,mh.Malecela alikuwa balozi nchini uingereza kabla ya kuitwa mwaka 1990 kuja kukamata nafasi ya waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais Mwinyi.Wakati huo watoto wake wakubwa wa kike,yaani Dr.Mwele, Dr.Seche na Judge Mwendwa walikuwa wanasoma nje ya nchi.Dr mwele akiwa UK,Seche akiwa USA na Mwendwa akiwa chuo cha Birmingham nchini uingereza.
Mzee Malecela alisema kuwa Mwl alifika kwake ubalozini wakati watoto wake wote wakiwa likizo.Wakaitwa mbele za Mwl nakuanza kutambulishwa mmoja baada ya mwingine kwa majina na shughuli au masomo anayofanya.Dakika chache baada ya utambilisho Mwl.alitoa kitambaa na kuanza kufuta machozi kwa muda wa dakika kadhaa.Nikamuuliza mzee Malecela kama mwl. alisema ni nini kilimliza au kama anaweza ku-guess,akasema hajui.Na akakataa kata kata ku-guess.
Jambo hilo lilinishangaza sana,lakini binafsi nilihisi Mwl.alilia kwa sababu ya tofauti alioiona kati ya watoto wake na wa malecela,kielimu na hata kimaisha. Wenzangu mnasemaje?
Hata hivyo nitaendelea kuwaletea yale msiofahamu kuhusu mwl.Nyerere.