Umeongea points
This is too bad! ... binadamu wanapokuwa hawathamini UHAI wa MTU! ... ipo wapi haki ya mtu ya Kuishi?! ...
Jambazi anaua ... (that's too bad) ... mbaya zaidi na Raia nao wanaua! ...
Hivi ... Je! mfano ukikuta kasingiziwa ... au labda hajaiba .... ni nani wa kubeba lawama za maisha ya mtu huyu? ... hata kama kaiba!
Ipo wapi haki ya mtu ya Kuishi?! ...
.
mara ukute hakuiba, yalitoke makosa kwa aliye dai kuibiwa, walio ua watajisikiaje!!!
akipona najiua mimi japo hili jambo sio zuri kibinaadamu ni zuri sana.hawa watu wamewachinja sana waemdesha bajaji na wanaoendesha boda boda kiasi ambacho ukikodi bajaji usiku wanajitahidi wawe wawili ilikuuboresha usalama wao.Kuna kupona hapo
dini zao za kinafiki zinawafundisha kwamba kifo hupangwa na mungu sasa sijui hayo mawe ni mungu anyway unafki unaanzia humo humo kwenye imani.
This is too bad! ... binadamu wanapokuwa hawathamini UHAI wa MTU! ... ipo wapi haki ya mtu ya Kuishi?! ...
Jambazi anaua ... (that's too bad) ... mbaya zaidi na Raia nao wanaua! ...
Hivi ... Je! mfano ukikuta kasingiziwa ... au labda hajaiba .... ni nani wa kubeba lawama za maisha ya mtu huyu? ... hata kama kaiba!
Ipo wapi haki ya mtu ya Kuishi?! ...
.