Mwizi mzoefu katika kituo cha magomeni mapipa ameambulia kisago cha nguvu na kutobolewa macho yake baada ya kukwapua hereni za dhahabu kutoka kwa abiria mmoja aliyekuwa kwenye daladala iliyokwama kwenye foleni.
Kibaka huyu alinusurika kuuliwa baada ya wananchi kukimbia wakijua wameua lakini dakika kumi baadae kibaka aliamka na kuanza kuondoka zake.
Source: Nifahamishe.com
Redio mbao zilidai kibaka huyu anatumia dawa za kienyeji kujilinda asiuliwe
mhh zipo kweli dawa kama hizo?
Kibaka huyu alinusurika kuuliwa baada ya wananchi kukimbia wakijua wameua lakini dakika kumi baadae kibaka aliamka na kuanza kuondoka zake.
Source: Nifahamishe.com
Redio mbao zilidai kibaka huyu anatumia dawa za kienyeji kujilinda asiuliwe
mhh zipo kweli dawa kama hizo?