Kobe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 1,794
- 808
Mhh... anachelea kusema itafika siku kila mtu amechoka lakini anaogopa kulianzisha sasa akawepo wa kuanza wanaweza jitokeza wafuasi wengi ikawa balaa kubwa kwani anayozungumzia ni ukweli kuwa inawezekana waajiriwa wakagoma ikazua maandamano wakajitokeza wabeba mizigo nao wakaunga msafara, wachuuzi wa biashara ndogo ndogo nao wakaingia,ikaja watu wasio na kazi maalum, basi inaweza kutokea hatari kubwa hapa.
Ni bora suluhisho lipatikane kupitia mezani kuliko barabarani.
Ni bora suluhisho lipatikane kupitia mezani kuliko barabarani.