Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,794
- 71,214
Wakuu, kwa mara nyingine tena Rais ameaibishwa tena na wasaidizi wake.
Kulingana na maelezo aliyotoa Kaimu katibu mkuu wa TUCTA Bw. Mgaya mbele ya vyombo vya habari jana na kuonyesha ushahidi wa barua ya mwaliko wa kikao toka hazina ni kuwa kikao chao cha maridhiano na ujumbe wa serikali kilikuwa kiwe saa 8 na sio kama alivyowatukana JK kuwa wao ni waongo na wanafiki kwamba waliitwa kikaoni saa 4 asubuhi na wakaja saa 8 mchana. Mgaya alifika mbali na kusema waziri Kapuya ( ambaye alimwita ALHAJI AKUDO ) kamdanganya rais na kumsababishia aseme uongo hadharini akiamini kuwa huo ni ukweli.
Naona sasa hawa wasaidizi wake hawana mashaka yeyote na mkuu hata kama ataaibika hadharani kutokana na kumpotosha. Hakuna watakachofanywa. NAANZA KUHISA KUNA MAKUSUDI FULANI KATIKA KUMPOTOSHA.
Kulingana na maelezo aliyotoa Kaimu katibu mkuu wa TUCTA Bw. Mgaya mbele ya vyombo vya habari jana na kuonyesha ushahidi wa barua ya mwaliko wa kikao toka hazina ni kuwa kikao chao cha maridhiano na ujumbe wa serikali kilikuwa kiwe saa 8 na sio kama alivyowatukana JK kuwa wao ni waongo na wanafiki kwamba waliitwa kikaoni saa 4 asubuhi na wakaja saa 8 mchana. Mgaya alifika mbali na kusema waziri Kapuya ( ambaye alimwita ALHAJI AKUDO ) kamdanganya rais na kumsababishia aseme uongo hadharini akiamini kuwa huo ni ukweli.
Naona sasa hawa wasaidizi wake hawana mashaka yeyote na mkuu hata kama ataaibika hadharani kutokana na kumpotosha. Hakuna watakachofanywa. NAANZA KUHISA KUNA MAKUSUDI FULANI KATIKA KUMPOTOSHA.