Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
I can't argue with you mkuu because you make a good point. I am against discrimination in any shape, form or manner be it racism, sexism, tribalism, religionism etc. but don't you think we should at least hear that evidence that Mengi claims to have? The mannerism in which he used in this case is wrong but since the cat is out of the bag why don't we just hear what he claims to know? Instead ya kujigawa kati ya wanaozani Mengi mzalendo halisi na wanaoona Mengi ana agenda zake kwa nini tusidai atoe huo ushahidi wake tujue moja? Akisha toa huo ushahidi ndiyo tutajua nia haswa ya Mengi. Mengi is not above the law but neither are the mentioned people. If he really has the evidence let the authorities ask him to give it & deal with the matter according to the laws of the country. I am tryin to be unbiase the best I can here so mimi naona ili kujibu maswali yote haya Mengi atoe ushahidi anaodai kuwa nao halafu sheria ichukue mkondo wake. Maana kama kuwataja hao watu ambao ni innocent untill proven guilty kashawataja kwa hiyo hamna maana kubishana kama njia aliyo tumia ni sahihi au la. kilicho baki atoe ushahidi wake kama una basis sheria ifuate kama mzee mzima aliji ropokea tu basi na sheria uchukue mkondo wake. Jamani wana JF mnaonaje? I think thats fair but its only my opinion.
Ninakubaliana na wewe kabisa.
Ukiangalia malalamiko mengi juu ya chaguzi kuu wachangiaji wengi hueleza kuwa wananchi hupewa kanga na pilau then wanachagua mtu. Maana yake ni kuwa wananchi wanakuwa influence na hali hiyo na kuwaondolea haki zao msingi za kufikiri na kufanya maamuzi.
Katika hili la Mengi nilieleza katika thread moja wapo ya mwanzo kabisa kuwa kabla ya kumsifia Mengi kwa hiyo press conference yake ni vema tumbane afikishe ushahidi na vielelezo katika vyombo vya sheria. Kwa kufanya hivyo sisi kama watanzania tungekuwa tumetimiza wajibu wetu na kujiondoa katika kuegemea upande mmoja. Lakini kama unavyojua tena hii forum ina watu wengi na mitizamo tofauti na vilevile motives mbalimbali. Hali hii inafanya kujadili hoja bila ya kuangalia uhalisia as a results hoja inakufa bila ya kuleta tija au impact yeyote.
Kwa vile Mengi ni Chairman wa makampuni makubwa na ni mhasibu ni imani yangu kuwa anaendesha biashara kwa kuzingatia miiko mbalimbali (ethics), kwa vile Mengi si mwanasiasa basi ni vema akatoa ushahidi na vielelezo. Vinginevyo awe muungwana awaombe radhi kwani sitegemei kuwa Mengi anaendesha makampuni yake bila kuzingatia miiko mbalimbali na hafanyi maamuzi ya kibiashara kwa kuzingatia siasa.