Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
Samahani si kwamba sielewi ila tu nauliza hizo pesa wanazolipwa fidia ni za kujenga nyumba nyingine mpya au kurekebisha mahali palipoharibiwa na mabomu? Mbona 168,000 ni ndogo sana kwa kujenga nyumba mpya?
kwa mujibu wa radio tumaini alfajiri ya leo nasikia kuna watu wamepewa hadi sh 30,000/=.nimeshtuka sana,ikawa kama ndo alarm ya kuniamsha.nikapiga maji nikachapa mwendi kibaruani!
NAOMBA UFAFANUZI KATIKA HILI