Tatizo la Pro-Chadema JF mnakuwa na haraka sana ya ushindi mkishindwa mnasema wameiba kura.
Umeongea ukweli wana viherehere wanauza mbinu zote jamvini ,ndio tunapenda habari lakini nyingine mungeweka vifuani mwenu munawasaidia sana chama cha ******* kupata mbinu za kupambana nanyi embu tulizeni mizuka yenu