Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 756
Mwita ameniongoza pale udsm akiwa Rais wa DARUSO, na ameondoka akiwa na heshima yake kubwa sana miongoni mwa wanafunzi wa UDSM.
Mwita ni mpiganaji sana, toka aondoke Udsm hajawahi patikana mpigani kama Mwita. Kwa kweli Mwita ni mtu anayehitajika sana katika kipindi hiki ambacho taifa letu linapita. Ni mtu anayesimamia kile anachokiamini, hayumbishwi wala hababaishwi kwa kile anachokiamini, ni mjenzi mzuri wa hoja zisizoyumba. Ni mzoefu katika mapambano .Mwita ni muhimu kwa Tanzania ya leo.
Are you serious Kasyabone?