Ahahahahah kabisa aise. Maana watasema alikula wali na ugali na ndizi na kisamvu na maharage na nyama na mchicha na matembele akatengeneza bomu lililomlipua mwenyewe.
Ila yote haya yanasa7bshwa na sisi wenyewe. Nidham ya uoga ndio inatpeleka pabaya. Tuamke sasa tusje tkaja tazskia hizo KAULI. Thanx kwa JOURNALISTS kwa maandamano
Pamoja na hayo mabaya ya Polisi, ukweli kwa kiasi fulani wanasaidia. Mfano hapa Dar na huko Unguja kulikuwa hakukaliki kilasiku ilikuwa ni vurugu tupu. Maandamano kila kukicha na makanisa kuchomwa moto. Lakini angalia baada ya Madevu na Ponda kuwa ndani, kipindi hiki tumeona utulivu. Inaonyesha kuwekwa ndani ndugu hao kumeleta utulivu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.