Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,773
Wadau wa jf me nakwazwa na uhamasishaji wa upande mmoja juu ya muda wa mwisho wa matumizi ya matangazo ya tv ya analogy, kwani kampuni zitakazotoa huduma za digital bado hazijajiimarisha hasa wilayani na kipindi hiki ilitakiwa wawe wameanza kutoa huduma na wananchi wapate kujua ubora wao kabla ya desemba mwaka. Pia gharama za ving'amuzi bado ni kubwa kwa wilayani kwani TING wanagharimu lakimbili na ishirini, zuku laki moja na ishirini hapo bad gharama za kila mwezi hujalipia na star time wapo makao makuu ya mikoa tu ! Sasa tujiulize kama serikali imejipanga kumsaidia mwanchi kweli. Naomba maoni yenu!