Lengo ni kuanzisha military bases huku East Africa,maana walitamani sana kwa muda mrefu....
mkuu lengo si kuanzisha base in East Africa kwani toka zamani walishasema kwenye base za marekani lazima ziwekwe kwenye nchi zenye bandari na uganda hawajakamilika kwa kigezo hicho
lengo kuu ni kudhibiti mafuta yaliyogunduliwa UGANDA