Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,675
- 5,023
Mwinyi Mwizi!
Mkuu wangu hakuna sababu ya kuanzisha mada mpya kwa sababu tu ya kuelezea mabaya ya Misaada hali sote tunafahamu Ubaya wa misaada na hata mikopo kwa nchi maskini hata kama tukichukua mifano yetu sisi wananchi wenyewe tunavyoishi.Mkandara:
Anza thread ya misaada na negative impacts zake kwa nchi za kiAfrika na nitakuja nichangie. Nikiendelea kuchangia katika mada hii itaonekana na-support waliomfuatia Nyerere.
Wako,
Z10.