MWINYI Was A Visionary Leader

Marais walioangushwa na wake zao ni mkapa na mwinyi.walikuwa wanaongoza nchi wakiwa vifuani.nyerere alikuwa imara kutenganisha ndoa yake na urais.kikwete ni dhaifu kuliko wote watatu amemfanya mkewe kuwa makamu wa pili wa rais.amenunuliwa na wafanyabiashara wezi.amewekwa mfukoni.hapo maswala ya dini hayapo na sitaki kuyasikia tena na mkomena mkomae.hakuna dini inayoweza kutuhakikishia kwamba muumini wake ni lazima awe kiongozi mzuri.kuanzia sasa naomba yeyote atakayeleta mada zenye muelekeo wa kidini lazima zifute haraka. Tz ni yetu sote.
 
Mzee Mwinyi was and is still a joker. Atanisamehe kwa umri wake lakini lazima ukweli usemwe tu. Bila kumung'unya mdomo.Ndio.

IMO opinion, last time alipopigwa kibao wenye baraza la Eid, I felt sorry for the old man lakini kwa kiasi fulani ni kumkumbusha kilicho mbele yake. Huyu mzee tbh namueka kwenye kundi la viongozi maslahi ambao TZ tunapaswa kuwasahau haraka sana. Baada ya JK Nyerere, Tz imepatwa na maswahibu makubwa ya viongozi wakuu wanaosukumwa na maslahi na si vision. Kumuita huyu mzee ati ni visionary is a big joke. Hata hivi sasa yupo active huko CCM, anajua mambo hayaendi vizuri lakini sijawahi kumsikia walau akipaza sauti yake kukemea uozo unaoendelea ktk nchi hii. Thats just classic..same goes to Big Ben.

Majuzikati nimebahatika (actaully bado naendelea) kusoma kitabu kipya cha Mzee Mandela ambapo Huseni Onyango ameandika 'maneno mwanzo'. Anasema alikuwa inspired sana na Mandela tangia akiwa high school huko, na even now at Mandela's twilight years na ubize wa majukumu yake, bado he finds sometime to call the old man. Kupata mawili matatu. People like Mandela are true deals. Visionary and persistence kwa wanachoamini..thats why multitude of people all over the world respect him, big time..sasa jiulize who gives a rat kwamba kuna mzee anaitwa Mwinyi? x-prez? I bet noone gives a monkey, even in EA region. Sababu tunazijua.

He was neither a visionary, nor a thinker..., hizo 'ruksa' was not his original ideas, ni matokeo ya mbinyo wa mashirika ya fedha ya kimataifa wa wakati ule, walipokuja na SEAPs. then aka-accept blindly, only kwa nchi kuwa ktk hali mbaya zaidi kiuchumi, maana nchi iligeuzwa officially 100% soko la vitu vya kigeni na kuizika manufacturing na production ya product za 'made in tz'..nina eza kusema kama yule mzee angeendelea kuepo madarakani, hivi sasa tungekuwa tuna-compete na Zimbabwe kwene mfumuko wa bei na sarafu isiyo na thamani.
 
Mwinyi hakuwahi kuwa Visionary na atakufa bila visionary leader. Alididimiza nchi kiuchumi, halafu akawa anataka abadili katika aendelee, leo hii tungekuwa na hali mbaya sana.
 
Mwili unao lakini unakonda kwa roho mbaya yako. Wema huna huna hata ihsani pia!!!! Usiwe mchoyo wa kukumbuka fadhira. Waulize walokuzidi umri mzee mwinyi alipewa nchi kutoka kwa mchonga ikiwa katika hali gani.

Uswahili umekujaa mpaka makalioni....sera za soko huria ni wazo la SOKOINE na Mwalimu alianza kulitekeleza 1984 BAADA ya kufa Sokoine kwa kufungua mpaka na Kenya...kama ulikuwa hujazaliwa...huyo Mwinyi alikuta 1985 tayari mambo yemekamilika...aliingia madarakani noti ya Juu 100 akatoka noto ya juu 10,000.....Mkapa aliikuta hiyo ya 10,000 na akaondoka iko hiyohiyo....huyu mkwere kama atalazimisha kurudi ataacha na noti ya 1,000,000
 
Marais walioangushwa na wake zao ni mkapa na mwinyi.walikuwa wanaongoza nchi wakiwa vifuani.nyerere alikuwa imara kutenganisha ndoa yake na urais.kikwete ni dhaifu kuliko wote watatu amemfanya mkewe kuwa makamu wa pili wa rais.amenunuliwa na wafanyabiashara wezi.amewekwa mfukoni.hapo maswala ya dini hayapo na sitaki kuyasikia tena na mkomena mkomae.hakuna dini inayoweza kutuhakikishia kwamba muumini wake ni lazima awe kiongozi mzuri.kuanzia sasa naomba yeyote atakayeleta mada zenye muelekeo wa kidini lazima zifute haraka. Tz ni yetu sote.

Unatumia gender inequality kublame Mke wa Mwinyi na Mke wa Mkapa. Wakati wa Nyerere Tanzania haikuwa modernization, kitu kilichofanya Mke wa Nyerere kutokuwa na Sauti. Now we have modern Tanzania, where you will see many women interact in a society totally diferent from previous administration. Kusema wake wa marais (JK, Mwinyi, Mkapa)ni Corrupt, ni kuonyesha kwamba Wanawake hawafai kuwa viongozi. Wake up Mr.
 
Uswahili umekujaa mpaka makalioni....sera za soko huria ni wazo la SOKOINE na Mwalimu alianza kulitekeleza 1984 BAADA ya kufa Sokoine kwa kufungua mpaka na Kenya...kama ulikuwa hujazaliwa...huyo Mwinyi alikuta 1985 tayari mambo yemekamilika...aliingia madarakani noti ya Juu 100 akatoka noto ya juu 10,000.....Mkapa aliikuta hiyo ya 10,000 na akaondoka iko hiyohiyo....huyu mkwere kama atalazimisha kurudi ataacha na noti ya 1,000,000

The higher value of money, is not necessary mean that you have strong economy. We had strong shilling when Nyerere was president, but our GDP was very low. The fact is,Mwinyi increased our GDP. Wakati wa Nyerere ulikuwa huwezi hata kununua foreign money. Maisha ya Mtanzania yalikuwa magumu sana. Kwani kuna ubaya gani kusema kwamba Mwinyi kaleta maendeleo. Zungumza ukweli
 
Unatumia gender inequality kublame Mke wa Mwinyi na Mke wa Mkapa....... Kusema wake wa marais (JK, Mwinyi, Mkapa)ni Corrupt, ni kuonyesha kwamba Wanawake hawafai kuwa viongozi. Wake up Mr.
Angalau nimeona umefanya uongo wa kimantiki mara mbili. Kuwalaumu wake za marais na gender inequality are not logically connected. Wake wa marais kuwa corrupt hakuna uhusiano wa kimantiki na wanawake kushindwa kuongoza....(Logical fallacy - appealing to pity)

Gender inequality is normal way of life that is male is not equal to female and female not equal to male. They are NOT equal they are different.
 
Matatizo ambayo tunayo sasa ya Ufisadi na ambayo yanaonekana ya Udini yalianza wakati wa Utawala wa Mzee Ruksa... we did not make any changes after his term. Hii ni kwasababu alishaanzisha makundi ndani ya CCM ambayo kwa hali na mali, mtu wake aliyemchagua kuwa Rais Jakaya Kikwete ifanikiwe... Tutamkumbuka sana huyu Mzee kwa kuwa mtu aliyeneemesha kuvunjika kwa Tanzania... na Utangayika ... mfano aliondoa JKT kwa wasomi Mtoto wa Mwinyi hakuenda JKT kwahiyo asingekuwa Mbunge na hata Waziri, Mbunge wa Nzega asinge weza kuwa mbunge sababu hakuenda JKT so tungekuwa Imara sana mali zetu tungezilinda

TUMEMALIZIKA
 
Angalau nimeona umefanya uongo wa kimantiki mara mbili. Kuwalaumu wake za marais na gender inequality are not logically connected. Wake wa marais kuwa corrupt hakuna uhusiano wa kimantiki na wanawake kushindwa kuongoza....(Logical fallacy - appealing to pity)

Gender inequality is normal way of life that is male is not equal to female and female not equal to male. They are NOT equal they are different.



Gender inequality is the restrictions placed on women's choices, opportunities and participation which have direct and often malign consequences for women's for their social and economic participation.
To blame all three first ladies shows that, there are some people who still use gender inequalities, into our politics.
 
that is not inequality but rather abuse!
I will cry the day brother and sister will want to have gender equality, given that she is a female and he is a male
 
Matatizo ambayo tunayo sasa ya Ufisadi na ambayo yanaonekana ya Udini yalianza wakati wa Utawala wa Mzee Ruksa... we did not make any changes after his term. Hii ni kwasababu alishaanzisha makundi ndani ya CCM ambayo kwa hali na mali, mtu wake aliyemchagua kuwa Rais Jakaya Kikwete ifanikiwe... Tutamkumbuka sana huyu Mzee kwa kuwa mtu aliyeneemesha kuvunjika kwa Tanzania... na Utangayika ... mfano aliondoa JKT kwa wasomi Mtoto wa Mwinyi hakuenda JKT kwahiyo asingekuwa Mbunge na hata Waziri, Mbunge wa Nzega asinge weza kuwa mbunge sababu hakuenda JKT so tungekuwa Imara sana mali zetu tungezilinda

TUMEMALIZIKA

Nonsense kwa mtu yoyote kupitia JKT. Hiyo ndiyo moja ya sera ambayo ilikuwa haina manufaa yoyote kwa Mtanzania. This is one of the reason that I say thank to Alhaj Ally Hassan Mwinyi.
 
Kwani hukubali kusema ukweli. Tanzania ya leo ni bora mara trillions compare ya wakati wa Nyerere. Umesahau unga wa Yanga? Umesahau Foleni ya kununua mafuta? Sema ukweli Mr.
Sasa we ulitaka Tanzania ya leo iwe sawa na ile ya Mwalimu,...unashangaza sana Mkuu.
Kuna tofaut kubwa sana ya Tanzania ya leo na ile ya Mwalimu,hata kama Nyerere angekuwa rAIS HADI LEO STILL HIYO TOFAUTI INGEKUWEPO TUUU.
Labda tujiulize tofauti ya Tanzania ya leo na ile ya Mwalimu in terms of:
Economic
Rushwa
Ufisadi
Ubinafsi
Maadili kwa viongozi nk.
Kati ya Marais ambao wamejenga mazingira ya nchi yetu kuwa hapa ilipo amin usiamni ni Mzee Mwinyi,though Nyerer ana mapungufu yake lakini mwinyi alikuwa na nafasi nzuri sana ya ku rectify,lakin hakufanya hivyo,alipoingia Mkapa hali kidogo ikawa shwari 9Economically) though na yeye ana mapungufu yake mengi tu likiwemo suala la UFISADI,alipoingia Mkwere ndo Mamamamamamamamaahh
 
Kwani hukubali kusema ukweli. Tanzania ya leo ni bora mara trillions compare ya wakati wa Nyerere. Umesahau unga wa Yanga? Umesahau Foleni ya kununua mafuta? Sema ukweli Mr.

Usisema Tanzania ya leo ni bora bali sema dunia ya leo ni bora kuliko ya miaka kadhaa iliyopita. Kumbuka kipindi cha Nyerere Tanzania ilikuwa inaendana kiuchumi na nchi nyingi kama akina indonesia, lakini Tanzania ya leo ipo nyuma kimaendeleo ukilinganisha na nchi tulizokuwa nazo sawa kiuchumi enzi za mwalimu.
 
Nonsense kwa mtu yoyote kupitia JKT. Hiyo ndiyo moja ya sera ambayo ilikuwa haina manufaa yoyote kwa Mtanzania. This is one of the reason that I say thank to Alhaj Ally Hassan Mwinyi.

Mheshimiwa nafikiri ungetafuta neno jingine kuhusu JKT na sio 'nonsense' kwani ni tusi kwangu mimi niliyepitia JKT. Kwanza ungetafuta maana na madhumuni ya JKT bila kusikia stories zake kwa watu halafu ndio utoe thesis yako. Karibu nchi nyingi duniani zikiwemo zile tajiri zina "National Service".

To me mambo yote aliyofanya Mwinyi hasa ya kiuchumi ni sehemu ya mabadiliko duniani kote na pia kutokana na msukumo wa World Bank na IMF. Je, alivyoanzisha mchakato wa kununua radar kutoka BAE na kulipa down payment ilikuwa ni sahihi?
 
Ni kweli kabisa mwalimu alituachia viwanda vingi e,g tanganyika perkas,tameco,Ufi,Fishnet,NMC etc,ulikuwa tunakula beef enzi hizo maisha yalikuwa mazuri,sasa mzee wetu mwinyi akakurupuka, akafungua milango vibaya,yeye ndio chanzo ya maisha mabaya,wakina jeetu patel waliibuka kipindi chake,tulikula mchele mbovu mnakumbuka mkemia mkuu ikamcost,ila ccm wanajua kuwa aliboronga wanafumba macho
 
Ni makosa kuweka ulinganyo wa JKN, AHM, BWM na JMK bila kuzingatia mazingira ya kila mmoja. Katika hawa, ukiangalia historia ya mwanzo wa kila mmoja against opportunity alizopata katika kuhakikisha kuwa maisha ya Mtanzania yana nafuu. JKN amefanya makubwa ambayo hata hao wengine wanajua na hawathubutu kujilinganisha naye. Mfano, angalia kihistoria wakati JKN anachukua nchi zile 4 means of production zilikuwa katika status gani na kupitia hiyo status aliipeleka nchi wapi, then tuchukue hvy hvy kwa Mwinyi, labour force, land(angalia na reforms zake ili kuruhusu utimiaji), Mtaji(Capital- aliachiwa nini na JKN na JKN alilithi nini toka kwa Mkoroni). Je, BWM yeye alikuta status gani katika hayo na mwisho JMK kakuta nini? Baada ya hapo ndio tuangalie performance yao kwa angalau kuangalia hivyo vichache.

Natumai JKN atakuwa mbali sana.
 
exactly! He was a visionary leader the nation had never experienced before. Nyerere alileta ukatoliki wake na kumrithisha mwanae mpendwa mkapa. Jk anajaribu kufuata nyayo za mwinyi ingawa bado hajafanikiwa kuvivaa viatu vya mwinyi vema. Marais bora nchini kwetu ni mwinyi, jk, mkapa na wa mwisho ni nyerere

chukua tano mkuu
 
Back
Top Bottom