Bumpkin Billionare
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 1,332
- 621
Wapendwa Shalom,
Sina kipingamizi na Imani za watu lakini kuna vitu viliniudhi hasa huyo anayejiita MWINGIRA kitendo cha kumtukana Mkuu wa nchi kwa matusi kama yale ya nguoni hakikubaliki. yeye ahubiri kivyake na wanokwenda kwake lakini atuachie amani yetu.
Biblia na vitabu vyote vitakatifu vinasema MHESHIMU BABA NA MAMA YAKO NA WENGINE WOTE WENYE MAMLAKA.
Issue za pete na makabuli zinatoka wapi hapa.
MWINGIRA BEHAVE.
Mwana na wewe unao nini mpete wa kito cha kijini jini? Angemkaushia eeh!