Mwingereza mwingine adai misaada ya wahisani inaongeza ufisadi Tanzania

Sheer nonsense. Hakuna connection yoyote baina ya bad governance na aid..utumbo mtupu. Waseme tu kwamba na wao wameishiwa, kwani hizo 'aids' lazima zipite kwa kutumia gvt machinery ambazo tunajua haziezi kuleta matunda yalokusudiwa? sote tunajua kuwa ukipitisha aid kwa gvt machinery, 60% itatumika kuhudumia hiyo machinery, 30% zitaliwa na 'wajanja' wachache na wakusudiwa wataishia kupata 10%. Some are these mzungu zinajifanya smart sana only kudhihirisha utupu wao.

@Abdulhalim, hapo kwenye red: sio kweli. There is direct link between aid and bad governance. And for your information Aid ni kiini macho, aid ni diplomatically accepted word for 'bribery'. Marekani hawatupi vyandarua vya mbu kwa sababu wanatupenda, waingereza hawachangii bajeti yetu kwa sababu wamegundua sisi ni binamu zao, wajapani hawatujengei barabara kwa sababu wanalemewa na kibunda cha 'hela' hivyo wanatafuta mahali pa kupunguzia uzito.Walitupa Aid meaning bribery.
 
Ningekushauri usome kiabu kiitwacho "DEAD AID" kimeandikwa na mwanamama mzambia anaitwa DAMBISA MOYO ili uweze kuona jinsi misaada inayoletwa Afrika inavyotumiwa kutoleta maendeleo ya wananchi katika nchi mbalilmbali. Kuna very high correlletion kati ya misaada inayoletwa Afrika [ specifically Tanzania] na utawala usio bora ; kwani misaada mingi hasa ile ambayo fedha zinapelekwa moja kwa moja serikalini ambako viongozi huzitumia kununua magari ya kubeba maji ya kuwasha yanayotumika kuwathibiti wananchi mara wanapotaka kuandaman kuonesha kutoridhika na serikali zao. Viongozi kufanya safari za nchi za nje na wapambe wao huku wakiacha majukumu muhimu yanayohusu maendeleo ya wananchi bila kuwa na ufumbuzi; pia hutumia fedha za misaada kuwanunulia wake zao jewellery [ dhahabu na vito] fedha ambazo zingeweza kuwanunulia wanafunzi madawati badala ya kukalia matofali. Kama misaada isingekuwepo kusingekuwa na ufujaji huu abao viongozi wanauhitimisha kwa wizi wa fedha za misaada na kuficha kwenye mabenki ya nchi za nje!!
Bado nasisitiza hakuna correlation...logic ya post #9 inaainisha kila kitu.
Source ya utawala wa hovyo ni sisi wenyewe, hata wakiondoa hiyo misaada bado utawala wa hovyo na lack of accountability havitaondoka.
 
Nchi za Ulaya na Marekani hazipati faida yeyote kuiendeleza Africa.Infact it's good business kwao kuididimiza Africa!Kwa hiyo hela zinazoletwa as aid/grant is actually a kickback/malipo kwa watawala wetu kushirikiana na wazungu kutufukarisha.Ni watumishi wao katika kuhakikisha kwamba hilo na mengine mengi yanafanikiwa.It's not meant for our development.
Bado nasisitiza hakuna correlation...logic ya post #9 inaainisha kila kitu.
Source ya utawala wa hovyo ni sisi wenyewe, hata wakiondoa hiyo misaada bado utawala wa hovyo na lack of accountability havitaondoka.
 
kumbe???
Sasa kwa nini the guardian itangaze hii article the day JK anaingia UK? are they using her msg kumpa maukweli?
huyu mama ni muhanga wa injustice legal system ya Tanzania kwenye ile kesi ya Silverdale hivyo anajitahidi kuichafua Tanzania kama awezavyo!. Ndiye huyu aliandika barua IMF na World Bank Tanzania inyimwe mikopo na kuandika mashirika makubwa ya misaada Tanzania inyimwe misada kisa anadai yeye na mumewe Middleton walidhulumiwa na mbia wao Benjamin M. huko West Kilimanjaro. Waliingia mkataba wa uwekezaji, wakawekeza, wakapigwa fitna, wakafurusurushwa na kupoteza kila kitu!. Hivyo maandiko yake ni kutafuta mahali pa kumalizia hasira zake.
 
Bado nasisitiza hakuna correlation...logic ya post #9 inaainisha kila kitu.
Source ya utawala wa hovyo ni sisi wenyewe, hata wakiondoa hiyo misaada bado utawala wa hovyo na lack of accountability havitaondoka.
mkuu, hawajasema it creates bad governance but it certainly fuels it!
 
Sheer nonsense. Hakuna connection yoyote baina ya bad governance na aid..utumbo mtupu. Waseme tu kwamba na wao wameishiwa, kwani hizo 'aids' lazima zipite kwa kutumia gvt machinery ambazo tunajua haziezi kuleta matunda yalokusudiwa? sote tunajua kuwa ukipitisha aid kwa gvt machinery, 60% itatumika kuhudumia hiyo machinery, 30% zitaliwa na 'wajanja' wachache na wakusudiwa wataishia kupata 10%. Some are these mzungu zinajifanya smart sana only kudhihirisha utupu wao.

Ukiangalia kwa juu juu unaweza kudhani hakuna connection. But when when you look with a critical eye, foreign ileta matatizo mengi tena zaidi ya bad governance. Unajua foreign aid ina affect hata value ya currency yetu? Below is an extract I took somewhere.

Problems Associated with Foreign Aid

One year after the release of The End of Poverty, American economist William Easterly released a book entitled White Man's Burden which criticized Jeffrey Sachs' promotion of more aid to Africa. Easterly contended that "Sachs' anti-poverty prescriptions rest heavily on the kindness of some pretty dysfunctional regimes", arguing that large amounts of international aid are generally wasted or embezzled by corrupt governments.

For example, he points to "studies in Guinea, Cameroon, Uganda and Tanzania, which estimated that 30 to 70 percent of government drugs disappeared into the black market rather than reaching the patients". Further, he also cited studies which contend that aid tends to have little effect on promoting economic growth even in countries with good governance.

This may be because foreign aid tends to promote a phenomenon nicknamed "Dutch Disease". According to a report by Raghuram Rajan of the International Monetary Fund, when large amounts of foreign aid are sent overseas, the receiving (impoverished) country's currency tends to rise in value; this rise in the value of currency makes it more expensive for foreigners to purchase exports coming out of the poor country, and thus foreign investment in the impoverished nation is discouraged. In this way, foreign aid undermines (not promotes) foreign investment.

Easterly also repeatedly mentions that more than $2.3 trillion has already been given to the developing world over the last 50 years; if aid was truly a successful means of promoting development, then Easterly argues that targeted impoverished nations should have already eradicated extreme poverty by now. Furthermore, he points out that much aid is wasted on projects whose primary purpose is to glorify the aidorganization instead of helping the impoverished citizens; additional aid is wasted on propping up dictators supportive of rich world interests or overthrowing communist regimes.

Other authors have backed up Easterly's position; in 2006, another book written by World Bank economist Robert Calderasi entitled The Trouble with Africa concludes that international aid should be cut to Africa, saying that "Contrary to conventional recommendations, direct foreign aid to most African countries should be (cut in half), not increased" since corrupt African governments often use the money wastefully.

In 2009, Zambian economist Dambisa Moyo reinvigorated the foreign aid debate with the release of her book Dead Aid, in which she calls for the complete cut off of all aid to Africa over the next five years. She alleges that "Limitless development assistance to African governments has fostered dependency, encouraged corruption and ultimately perpetuated poor governance and poverty." Moyo argues that Africa's only problem is extensive government corruption and interference in the private market; what the continent needs is rapid market reforms which promote the private sector.

Source: http://www.povertyeducation.org/the-foreign-aid-debate.html
 
Back
Top Bottom