Mwili Wa Ulimboka Kuwasili Ijumaa

Status
Not open for further replies.

mwanaizaya

Senior Member
Apr 26, 2008
133
1
Ndugu wana JF kwa huzuni kubwa na masikitiko napenda kuwataarifu ule mwili wa mpendwa wetu
ULIMBOKA
MWAKIFUNA
aliefariki hapo wichita uko USA kwa ajali ya moto utaingia hapa TANZANIA saa nane mchana na ndege ya afrika ya kusini...ukiwa kama ndugu rafiki na mwana jf mpenda watu unakaribishwa katika kuwafariji wazazi wa marehemu mke na watoto.....tunapenda kuwataarifu mwili utatokea sehemu ya mizigo yaani CARGO......hivyo wengine waelekee uwanja wa sasa,,,na wengine tunawaomba waelekee CARGO barabara ya kuelekea uwanja wa zamani wa ndege .....mungu awape faraja familia ya marehemu

"BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE"
 
Ninasikitika sanakwa kifo cha mwenzetu Ulimboka
Nawatakia faraja na subira kwa wafiwa na wana JF wote
 
Ombi Pamoja Na Msiba Uliotupata Kama Mwana Basi Sio Kutaja Jiana Lake Tu ,basi Hata Lile Jina La Ki-jf Litajwe Tujue Du ,michango Yake Hatuta Iona Tena,so Familia Ya Ulimboka Ulimboka Poleni Sana
 
Poleni sana wafiwa na kwa wana JF wote,

Mola ailaze roho ya marehemu pahala pema peponi, Amina
 
mungu ampokee na apumzike kwa amani

nnawatakia subira wanafamilia pamoja na ss familia ya JF maana ni mtoto wa famili hii
 
SHUKRAN
KWENU WANA JF NA WATANZANIA WOTE WALIOKO MAREKANI TUNAPENDA KUTOA SHUKRANI KWA MSAADA WA FEDHA MAWAZO NA KWA KILA KITU MLICHOWEZA KUSAIDI A KUFIKA KWA MWILI WA MPENDWA WETU ulimboka..mwili umefika salama JANA SAA MOJA NA NUSU NA KUANGALIWA NA BAADHI YA NDUU KWA MACHUNGU MZAZI WA KIUME ALISHINDWA KUJA NA HIVYO KUENDELEA KUBAKI NYUMBANI....MAMA WA MAREHEMU MUNGU AMPE MOYO WA IMANI WALIWEZA KUJA KUANGALIA NA MWISHO KUAMINI KWELI MWANAE HATUNAE TENA....NI MASIKITIKO KIDOGO NA HILI NAFIKIRI LINAWEZA KUWA WAZO KWA NDUGU ZETU MLIOKUWA UKO NJE JARIBUNI KUTUMA HAATA PICHA KILA BAADA YA MIEZI 6...ILI ISIJE IKALETA MTAFARUKU KWENYE MATATIZO KAMA HAYA...ILIKUWA NI NGUMU MAMA KUAMINIMWANAE...KUTOKANA NA KUWA TOFAUTI KIDOGO...ALIKUWA AMESUKA NYWELE HUKU ALPOONDOKA ALIKUWA NA UPARA......
LINGINE KIJANA ALISLIMU KIDOGO NA ALIPOONDOKA ALIKUWA AMETUNA MIRABA 4..NAFIKIRI NDUGU ZANGU WA UKO MTAFANYA HAAYA ..ILIKUWA NI NGUMU KUAMIINI NA KUSEMA SI MWANAE MPAKA ALIMSHIKA MGUU ...NA KUKIRI NDIE......RAP ULI MUNGU AKULINDE UKO ULIKO......KUNA WANA JF WALIANDIKA ANA MKE NA WATOTO WALI UKO JAMANI HAWA WALISHINDWA KUJA ????????????
 
Msiba Uko Nyumbani Kwa Wazazi Wa Marehemu Uko Kijichi Mbagala
Maziko Saa Tisa Na Nusu Pale Makaburi Ya Changombe Wenye Muda Mnakaribishwa Kumwaga Na Kwenda Kumlaza Ndugu Yetuuli Kwenye Nyumba Ya Milele.....................
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom