Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
kiwewe kivipi shem? Fafanua kidogo.
Kiwewe kwa maana ya binafsi yako!
kiwewe kivipi shem? Fafanua kidogo.
ngumu sana kufanya hivyo.
wapi nimesema nateseka jamani?
Hapana utakuwa umekosea.
Yeye hajaonekana humu tangu tar 19 mwezi huu wa Sept.
:ban: hana, japo aliniambia anakwenda Zambia Kikazi.
Halafu yeye wala si wa huku ChitChat.
Yuko kule Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Business.
Me nakumbuka kuna member humu Jf niki Quote uzi wake,mwili wangu wote ni lazima unisisimke.
Huyo lazima atakuwa ni mtakatifu tu..
Mpaka leo Sijajua ni kwanini.
Huwezi kuamini Catherine, sijawahi kuonana nae na wala simfahamu na wala Japo Pm ya kumsalimia tu sijawahi.
Ila Oooohh!!
Niko Crazy juu yake.
Ila Anajijua nadhani.
Hapana utakuwa umekosea.
Yeye hajaonekana humu tangu tar 19 mwezi huu wa Sept.
:ban: hana, japo aliniambia anakwenda Zambia Kikazi.
Halafu yeye wala si wa huku ChitChat.
Yuko kule Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Business.
Me nakumbuka kuna member humu Jf niki Quote uzi wake,mwili wangu wote ni lazima unisisimke.
Mpaka leo Sijajua ni kwanini.
kwahiyo shem huo msisimko ni sbb ya upendo au uoga?
Hivi inapotokea kuwa kila unapomwona mtu flani mwili unasisimka inamaanisha nini jamani?