HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
Hi jf members.
Nipo katika programm ya kufanya mazoezi ya viungo na kucheza mpira. Ni week sasa, tangu nianze tunafanya mazoezi asubuhi (viungo) na jioni (tunasakata kabumbu). Mwili umevunda unauma na naona hauachi..... Duh this is intensive training, hoi. Kula tunakula vema sana tu but mwili wote nyang'anyang'a....
Kweli utaacha kuuma??? Au kuna dawa za kupaka ili kuituliza misuli?
Nipo katika programm ya kufanya mazoezi ya viungo na kucheza mpira. Ni week sasa, tangu nianze tunafanya mazoezi asubuhi (viungo) na jioni (tunasakata kabumbu). Mwili umevunda unauma na naona hauachi..... Duh this is intensive training, hoi. Kula tunakula vema sana tu but mwili wote nyang'anyang'a....
Kweli utaacha kuuma??? Au kuna dawa za kupaka ili kuituliza misuli?