Kwa kuwa ccm wametoa list yao, nami napendekeza counter-List yangu ambayo itahakikisha imewasambaratisha:
1. Vicent Nyerere
2. Dogo Janja
3. Godbless Lema
5. Kamanda wa anga Mbowe
5. Halima Mdee
6. Heche John.
7. Huyu, kwa mafanikio yoyote yale ndani ya cdm ni lazima awepo- Dr Slaa.
Tegemeeni data mpya kabisa za uchafu wa ufisadi na rushwa wakati wa kampeni, hasa kufuatia chaguzi za NEC ya ccm. Dr yuko fit na ndiyo anafanya final 'wrap-up' ya facts zitakazowaacha mdomo wazi wanaSumbawanga na waTz kwa jumla.!
Mkuu, CCM kwishney!AESHY HILLARY 17328 MWL.NYAMSEMO 17132 Hata hivyo Hapo ni mkachachuo wa hali ya juu, jiulize Lema aki-mobilise ma-control yake ktk wizi wa kura itakuweje
Glory to God. Ametuweka hai hadi tunakishuhudia kifop cha CCM.Wakuu wa JF naona mnaenda kinyume na mapenzi ya Mungu.......Mungu anafanya makusudi kabisa akiivua nguo zaidi kupitia Mwigulu ili muone jinsi vyeti za Chama zilivyoraruka......mnatakiwa kuwa watulivu
CCM wameanza kuhema na kuanza kumnyemelea tena Filikunjombe, wanajua jamaa ana kundi kubwa nyuma yake wakizubaa ndiye pigo la mwisho kuizika CCM
Safari hii Mkapa atathubutu tena kwenda kujiaibisha??!!!
mh lazima vifo vitokeee
wameshajua kuwa wanaenda kushindwa ndio maaana wapeleka comedians tu ili atleast kuonyesha presence!!
AESHY HILLARY 17328 MWL.NYAMSEMO 17132 Hata hivyo Hapo ni mkachachuo wa hali ya juu, jiulize Lema aki-mobilise ma-control yake ktk wizi wa kura itakuweje
Watanzania wenzangu bwana, badala ya kuhurumia over 3.5bilion inazikwa kwa uchaguzi mdogo ktk eneo ambalo halina maji ya kutosha, madawati, vitio vya afya nk tunashabikia uchaguzi kama vile ni mechi ua Simba na Yanga. By the way hata uchaguzi ukarudiwa majibu yako wazi. CCM ITASHINDA. SUMBAWANGA? SUMBAWANGA? SIKU YA KUPIGA KURA, YAANI DAKIKA 30 TU BAADA YA VITUO KUFUNGULIWA, CCM INASHINDA. LET US WAIT
Nchemba tena? Basi tujiandae na mazishi Sumbawanga!