maulaga
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 472
- 120
- Thread starter
- #21
Usalama wa taifa wanafanya kazi gani jamani? wewe unahabari zote hizo halafu unabaki kulalama hapa jamvini, umelisaidiaje taifa kuzuia uhalifu huu?Acha kuleta michango yako ya kichochezi hapa.Hawa watakuwa wamevukishiwa kupitia Arusha au moshi, itakuwa Lema ndio muhusika mkuu kwasababu anazijua vizuri njia za panya alizo kuwa akizitumia kwenye biashara ya wizi wa magari.
WanaCDM wamesha igeuza hii stori kuwa ni uzembe wa jeshi wakisahau tuhuma hiyo inawahusu wao kuleta majambazi nchini.