Mwigulu Nchemba na kitambaa cha bendera ya Taifa.

Huyo Zombi mnaejibizana nae mnampa kichwa sana aisee!! Dawa ya mjinga ni kumpuuza.
 
Nchi yenye sheria legelege utaijua tu!
Ukipita Kariakoo, mitaani, maduka ya watalii, utaona vifaa kadhaa vyenye bendera ya taifa vinauzwa: T-Shirts, track suits, vitambaa vya shingoni, kofia, kanga...tunajua vinaishia wapi vitu hivi? Kuna "utakatifu wowote katika bendera ya nchi? Kama ni hivyo, kwa nini mataifa mengi wanavaa bendera zao vichwani na kuna tafauti gani na bendera ya Tanzania?

Masikini mimi sijui hata hizo kanuni zinazoilinda bendera ya taifa letu, ninaona tu katika nchi nyengine wanaikashifu bendera ya nchi fulani kwa kuichoma moto.

Hapo juu kwenye red, mimi nisiyekuwa Nchemba, nikivaa kitambaa cha bendera ya taifa nitaadhibiwa kisheria? Na hapa hoja ya msingi ni nini, tunajadili maadili na matumizi ya bendera ya taifa au tunamjadili Nchemba tu?

MAMMAMIA, Kila nchi ina sheria zake kuhusu matumizi ya neno/alama za taifa. Tanzania wanazo sheria zake kuhusu namna ya kutumia bendera etc. Kwa sasa hivi sijui ni shule za kata lakini matumizi ya nembo ya/alama za taifa ni hovyo kabisa. Nimeona watu toka taasisi na mashirika ya umma wamevaa t-shirt/kofia zenye 'national amblem!!!
 
Last edited by a moderator:
MAMMAMIA, Kila nchi ina sheria zake kuhusu matumizi ya neno/alama za taifa. Tanzania wanazo sheria zake kuhusu namna ya kutumia bendera etc. Kwa sasa hivi sijui ni shule za kata lakini matumizi ya nembo ya/alama za taifa ni hovyo kabisa. Nimeona watu toka taasisi na mashirika ya umma wamevaa t-shirt/kofia zenye 'national amblem!!!
Asante sana Mkuu kwa kunihabarisha. Nimeangalia zaidi kuhusu sheria zetu na matumizi ya nembo na bendera ya taifa, ambapo katika "National Emblems Act Cap. 10. R.E 2002" inasema ni makosa kutumia alama hizo kwa shughuli za biashara na mengineyo ambapo Waziri wa Mambo ya Ndani hakuidhinisha ruhusa ya matumizi hayo.

Mpaka hapo sawa, lakini niliposema awali kuwa tuna sheria legelege, umeona ni tovuti ngapi duniani zinazotumia nembo na bendera ya taifa letu ili kujitangaza kibiashara hasa utalii, serikali hailioni hilo kuwa ni kosa la jinai? Hawa wanaotumia nembo na bendera yetu, wanaitangaza Tanzania au kwa kuitumia wanaidhalilisha Tanzania? Mimi Mtanzania, nikitoka nje ya Tanzania, nikatumia bendera na nembo yetu kuonesha "uzalendo wangu kwa nchi yangu", ntakuwa ninafanya kosa?
Zidumu Fikira za Mwenyekiti!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
kwa taarifa nilizonazo ni kuwa alivyokuwa anazini na yule mke wa mtu pale igunga baada ya lile fumanizi yule mama alimparua makucha na kumng'ata meno ya kutosha sehemu za shingoni ndo soo ambalo nchemba huwa analificha na hiyo skafu
 
MAMMAMIA, Kila nchi ina sheria zake kuhusu matumizi ya neno/alama za taifa. Tanzania wanazo sheria zake kuhusu namna ya kutumia bendera etc. Kwa sasa hivi sijui ni shule za kata lakini matumizi ya nembo ya/alama za taifa ni hovyo kabisa. Nimeona watu toka taasisi na mashirika ya umma wamevaa t-shirt/kofia zenye 'national amblem!!!

Nchi hii sijui, najiuliza kama afanyavyo Mwigulu je angekuwa anafanya hivyo Mbunge wa upinzani ingekuwaje?
 
Last edited by a moderator:
Naomba kuwauliza wadau wa Jf, kwa anayemfahamu vizuri mbunge wa Iramba Magharibi na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM na aliyekuwa Meneja wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Arumerumeru mashariki (Ndg Sioi Sumari) kupitia CCM Mh: Mwigulu Nchemba,.

Kuanzia nimemfahamu mbunge huyu kila nimuonapo huwa anapenda kujifunga kitambaa chenye nembo ya taifa shingoni mwake, huwa hakitoi kile kitambaa chenye nembo ya taifa shingoni mwake,'.

Swali ni je' huo ni uzalendo na nchi yake?? au anapenda tu kutoka kihivyo?? au ndivyo alivyoagizwa afanye na wataalamu wake ili asiterereke kisiasa?? au kuna kitu anaficha kwenye shingo yake???


Naomba majibu kwenu maana nimetafakari nikakosa jibu sahihi.

si anajifanya chama kiko ndani ya damu hana lolote mnafiki tu
 
Nchi hii sijui, najiuliza kama afanyavyo Mwigulu je angekuwa anafanya hivyo Mbunge wa upinzani ingekuwaje?

Ingekuwa zogo kubwa hasa ukizingatia ni kinyume na sheria za nchi. Nape angekuwa anapiga makelel from the roof tops!
 
Kama anatatizo shingoni si atumie kitamba kingine au atumie mtindo kama wa Peter Cech. Huyu jamaa anataka kuendeleza ushamba aliokuwa nao Mazengo, nilikaa naye Bweni moja na tabia ya kupenda sketi ni ya kawaida totoz za kikuyu Dom wanamjua. Jirekebishe, Igunga nilikusikia
 
Hii ndio aina ya siasa tuliolishwa, kudhani upinzani ni kupinga na kuchukia kila kitu cha mpinzani wako

Badala ya kuhoji sera tunaanza kuhoji skafu mara sjui gwanda nk
 
Hii ndio aina ya siasa tuliolishwa, kudhani upinzani ni kupinga na kuchukia kila kitu cha mpinzani wako

Badala ya kuhoji sera tunaanza kuhoji skafu mara sjui gwanda nk


Tunaongelea nembo/alama za bendera ya nchi. Ni wapi uliona nchi inatumia alama za bendera kutengeza zulia? Kuna vitu ukifanya 'pyschologically' vinaweza kukuandaa kufanya mengi zaidi. Kuna mambo kama taifa lazima tuyape hesham yake, na ndio sababu kumekuwepo na sheria.
 
Hii ndio aina ya siasa tuliolishwa, kudhani upinzani ni kupinga na kuchukia kila kitu cha mpinzani wako

Badala ya kuhoji sera tunaanza kuhoji skafu mara sjui gwanda nk

Jamani kuuliza si ujinga wala ugomvi'
 
kwa hiyo zomba amekaa na tabia hii tokea 2007 hapa hapa jf,mbona anajidhalilisha kwa vjana wadogo?
 
Tunaongelea nembo/alama za bendera ya nchi. Ni wapi uliona nchi inatumia alama za bendera kutengeza zulia? Kuna vitu ukifanya 'pyschologically' vinaweza kukuandaa kufanya mengi zaidi. Kuna mambo kama taifa lazima tuyape hesham yake, na ndio sababu kumekuwepo na sheria.
Mkuu unamawazo ya kizamani sana broda
 
Back
Top Bottom